Iphone 5 imebuma

Sangoma

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2012
Posts
344
Reaction score
165
Wakubwa habari za majukumu nawaombeni msaada juu ya hii iphone 5 ilikuwa iko sawa baada kuisha chaji kabisa imegoma kuwaka nikichaji inaonyesha inachaji zaidi ya siku 2 lakini bado iko asilimia ziro nimejaribu kuirestore kwa kutumia itune imekubali lakini tatizo bado liko vilevile kama picha chini inavyo eleza msaada plz
 

Attachments

  • 1441474198776.jpg
    34.4 KB · Views: 251
hapo yawezekana charger imekufa,jaribu kubadili charger
 
hapo yawezekana charger imekufa,jaribu kubadili charger

nimetumia chaja tofauti zaidi ya moja lakini tatizo bado nikichajia cm zingine chaji inachaji ila kwangu ndiyo inagoma
 
Ipeleke kwa fundi
Au tafuta solution online
Google au youtube
 
Ipeleke kwa fundi

nilipo mafundi wa cm kama hizi ni wababaishaji watanikuzia tatizo niko serengeti mkoa wa mara kama unaweza nipa namba za fundi unaemwamini nitashukuru ili niweze mtafuta popote bora awe muaminifu
 
Tafuta cable/wire Wa kuchajia ambao ni orijino kabisa unaweza kusaidia nikipata tatizo kama hilo ila ni sababu waya wangu ulikuwa umekatika kwa ndani ikawa haileti moto wa kutosha. Pole pia jaribu ku-google.
 
Tafuta cable/wire Wa kuchajia ambao ni orijino kabisa unaweza kusaidia nikipata tatizo kama hilo ila ni sababu waya wangu ulikuwa umekatika kwa ndani ikawa haileti moto wa kutosha. Pole pia jaribu ku-google.

niko na chaja zaidi ya moja niko nazo 3 zote nikichomeka tatizo ni hilo hilo nikichomeka kwenye kwenye simu nyingine zinakubali ila kwangu ndo zinagoma ila kurestore kwenye itune nimetumia usb cable na ikakubali tatizo ni kuichaji ndo imekuwa kesi
 
niko na chaja zaidi ya moja niko nazo 3 zote nikichomeka tatizo ni hilo hilo nikichomeka kwenye kwenye simu nyingine zinakubali ila kwangu ndo zinagoma ila kurestore kwenye itune nimetumia usb cable na ikakubali tatizo ni kuichaji ndo imekuwa kesi

Umejaribu kutumia usb cable tofauti?
Sio charger, usb cable aka waya
 
zote ni usb cable ambazo ziko na vichwa vya kuchajia
 

Mkuu angalia kama usb cable yako ina MFI certification. Kuanzia iOS7 sasa mpaka latest iOS version kuna security update iliyowekwa ambayo inazuia USB zote kufanya connection yoyote kwenye simu kama hakuna MFI certification kwenye hizo USB cables/chargers.

Hiyo ishu ilinitokea kwenye iPhone 4S, kwa kuwa nilinunua cable mpya baada ya kupoteza ya zamani. USB cable hiyo nilipochomeka chaja iliniprompt kuhusu usb cable kukosa certification ambayo inaverify kuwa USB ni salama kabisa kwa kuchargia na ku-sync.



Kama tatizo litakuwa ni hilo basi make sure charger unayonunua imekuwa certified kwa ajili ya charging na syncing.
 

MFI certification ndiyo kitu gani na kuangalia naangalia vp na ios iliyomo ni 8.0.4
 
tumia charger original ya iphone au chukua cable original charge kwa kutumia kingamuzi cha azam tv,hizo charge zako fake
 
Ipeleke kwa fundi tatzo itakuwa betri, hata yangu ilikuwa hivyo
 
tumia charger original ya iphone au chukua cable original charge kwa kutumia kingamuzi cha azam tv,hizo charge zako fake

Duh hii itakuwa kweli cable moja ni og ila sina kingamuzi cha azam tv niko na cha zuku
 

Tatizo haifiki huku imegoma kuchaji tokea juzi kama picha inavyo onyesha
 
Tafuta charger original , pale mjini kati ya extelecom na sanamu ya askari kuna chager original , nunua waya na plague yake , isipochage utapata shida kupata fundi mwenye uwezo anaezijua Iphone kwani itakua imeua 'power ice' kutokana na charger mbovu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ