iPhone 5 for sale (590,000)

Umasikini n mbaya sana..
Mkuu inaelekea hauna ela alafu unatumia tecno ndo maana unatoa povu sana.!
HA HA HA hiyo ndiyo simu gani? natumia latest APPLE zote unazozijua wewe, na huu ni mwaka wa sita sasa natumia apple, nitanunua vipi USED iPhone 5 wakati wanatumi 5s 64GB, sio kila mtu humu yuko bongo HAHAHAHAHA
Nachojua mimi MASIKINI UPENDA kuipata watu masikini, ujamchunguza mtu kujua uchumi wake unaibuka na matusi, DAH
 

Bas tufanye tushajua kwamba wte mnazjua iPhone..ok..turud upande wa biashara..kak chukua 470 ila mm naomba niwekee imei number apa ntainglia kam ni apple product au la coz kna system ya kuanglia cm original online kwa kutumia imei..fanya hvo mkuu
 
Wakuu mbona nilishaandika kuwa 'imeuzwa',, au hamkuona.. Narudia tena --->> IMESHAUZWA aka SOLD!! topic closed!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…