iPhone 4s & iPhone 4 - 16gb & 32gb

weka bei kaka sio tupige simu utuambie kuwa bei ni laki nne au tano. Hatutakuelewa
 
weka bei kaka sio tupige simu utuambie kuwa bei ni laki nne au tano. Hatutakuelewa

niweke bei kwani mm muuzaji??? Acha biashara za watoto wewe.... Wewe piga sema unauza kiasi gani then tujuwe tunaweza fanya biashara au laah!
 
Iphone 4s ya 16gb factory unlocked inapatikana na imetumika miezi 3 tu Tzs 650,000 km unataka pm me!

bro uli escape shuleni nn au hujui kusoma??? Nimeandika hapo juu nahitaji iphone 4s na contacts zangu nimetoa sasa wewe unaandika kama nahitaji niku pm. Sasa nsingehitaji au ningepata si ningefuta post.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom