kama una mtu anatoka pande za huko majuu muagize akutumie mkuu.. hizi za hapa watakupiga bei ghali na unaweza kuta sio kitu genuine vile vile last time ilikua 1.3 pale sapna nadhani itakua ishashuka
kama una mtu anatoka pande za huko majuu muagize akutumie mkuu.. hizi za hapa watakupiga bei ghali na unaweza kuta sio kitu genuine vile vile last time ilikua 1.3 pale sapna nadhani itakua ishashuka
Mkuu kwa taarifa yako tu kwamba hata ukiagiza hii simu bado cost yake plus applicable taxes & clearing charges utakuta gharama itakuwa milioni moja na zaidi.
Mkuu kwa taarifa yako tu kwamba hata ukiagiza hii simu bado cost yake plus applicable taxes & clearing charges utakuta gharama itakuwa milioni moja na zaidi.