EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,701
- Thread starter
-
- #121
Njoo mapicha achamanoneUzuri hiyo note 8 nimetumia na android nyingi nyingi zikiwemo hizo Samsungu Note series
Sijatumia Google pixel ndo naskia stori ina Camera kali
Turudi kwa Iphone hii ni habari nyingine pamoja na kuwa na upekee unafanya watu waone kama gereza ila huwez kulinganisha note 8 na Iphone 13 hata kwa iphone Xr tu hiyo note 8 haifui dafu
Weka picha acha maneno jamaaHuyu jamaa hajala akishiba akili itarudi.
Iphone inaweza kuonekana Gereza ila ni habari nyingine akatumie hata iphone X arudi hapa kufuta utoto wake
Hii yako ukizoom nyanya zinapotea 🤣Hii ni Samsung note8View attachment 2114835
Weka picha acha maneno jamaa
Linganisha ya yangu ya jana usiku kwenye makretiHii ni Iphone haina macho matatu (11 plain) na hapo ni usiku wakati nakulaView attachment 2114827
We ntakuuziaNipo Ilazo hapa, nipe location.
Mkuu unayo hapo?🥱🥱Ndo ujue hutakiwi kulinganisha Iphone 13 na samsung note 8
Alaf iphone 13 sio macho matatu, iphone 13 ni two camera ziko diagonal
Whatever the case is, note 8 ni utopolo amini usiamini
Mkuu unayo hapo tuoneshe🥱🥱Umewahi kutumia iphone lakini?
Isijekuwa umetoka kwenye tecno umeingia kwenye note 8 kwahiyo unaamini hakuna camera kali kuliko note 8 yako
Ujue mtoto aliyezaliwa akaishia kuona mbuzi ukimwambia kuna mnyama mkubwa kuliko mbuzi mnaweza kubishana sana
Kwanza hakuna Iphone 13 ya macho matatu, Mpaka hapo wewe tunakuondoa kwenye list ya wanaozijua simu.Weekend iliyopita nilisafiri kwenda Bagamoyo tulikuwa na event ya kikazi kule.
Basi wakati michezo beach dada mmoja wakishua akaniachia simu yake nimshikie akaogelee ilikuwa ni iPhone 13 maarufu kama macho matatu.
Haikuwa na password so nikaenda kwenye camera nikiwa nimeshika simu mbili kwa pamoja yaani kulia macho3 kushoto macho2 ya Samsung Note8 nikawa napoint kwenye object 1, aisee Samsung note8 kampiga gepu mbaaali sana huyu iPhone 13.
Najua mtakuja kujitetea ila ukweli ndio huo. Huyu sister ni wakishua hasaa so msije na lame excuses kwamba ni copy maana licha ya kwamba ni wakishua kwao ila hata yeye na mumewe wako vema sana.
Anayebisha siku ajaribu kulinganisha halafu aje na mrejesho.
Majaribio yalifanyika mchana na jua linawaka.
Oooh urudi lini kutoka Mirembe?Kwanza hakuna Iphone 13 ya macho matatu, Mpaka hapo wewe tunakuondoa kwenye list ya wanaozijua simu.
Huu uzi Void mods muufunge tu.
Takataka.Hii picha nimepiga saivi na note8 tena ni counter ya ndani hebu piga na wewe na hio iPhonexView attachment 2114027
Iphone 13 huijui....Niliivua cava ni IPhone 13
Iphone 13 ya macho matatu mmmmmhHumu ndani hamna mwenye iphone 13?
Mkuu unayo hapo tuoneshe🥱🥱
Yes hapa umeongea kitu pia.Hata upewe camera nzuri kiasi gani kama hujui kupiga picha vizuri bas itatoka mbaya Tu,lakini mtu mwenye ujuzi mzuri WA kupiga picha hata akiwa na camera mbaya atapiga picha nzuri...Other factors remain constant.
Anazingua huyo ng'ombeHapo tu kwenye kuvua kava na kujua ni iPhone 13…Tayari inaonesha hilo ni famba…..ungetuambia uliingia (settings>general >about) kidogo tungekuelewa kuwa hio ni iPhone 13 na hakuna 13 ambayo ni macho matatu macho matatu ni 13pro na 13pro max….huyo kapigwa hakuna iphone 13 hapo huwezi sema eti nilivua kava since iphone haiandikwi nyuma kua ni iphone ngapii
Hakuna cha settings wala nini by default iphone inatakiwa itoe picha kali hazina pro mode, huyu mshamba kakutana na copy anakuja kupiga kelele huku. Yaani iphone 13 ni ya kuifananisha na note 8 kweli!!!!Mzee utakua hujui setting za iphone pole sana, iphone kama huwezi itumia itakutesa tuachie watabe
Pro max 13 inayo matatu makubwaKwanza hakuna Iphone 13 ya macho matatu, Mpaka hapo wewe tunakuondoa kwenye list ya wanaozijua simu.
Huu uzi Void mods muufunge tu.
Hujui simu mzeeee.....Oooh urudi lini kutoka Mirembe?