EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,701
- Thread starter
-
- #61
Lame excuseHata upewe camera nzuri kiasi gani kama hujui kupiga picha vizuri bas itatoka mbaya Tu,lakini mtu mwenye ujuzi mzuri WA kupiga picha hata akiwa na camera mbaya atapiga picha nzuri...Other factors remain constant.
Weka picha hapa ulopiga na iPhoneHapo tu kwenye kuvua kava na kujua ni iPhone 13…Tayari inaonesha hilo ni famba…..ungetuambia uliingia (settings>general >about) kidogo tungekuelewa kuwa hio ni iPhone 13 na hakuna 13 ambayo ni macho matatu macho matatu ni 13pro na 13pro max….huyo kapigwa hakuna iphone 13 hapo huwezi sema eti nilivua kava since iphone haiandikwi nyuma kua ni iphone ngapii
Weka picha mkuuhasira ya kazi gani.. iPhone 13, iPhone 12 zote nimekuwa nazo kwa nyakati tofauti na nimezitumia
Leta ya macho3 ya saivieti jamani? Au alitoa kava kuangalia ni macho mangapi
Challenge thisMtu kama sio mpiga picha huwezi jua simu gani bora. Hakuna mzoefu wa picha utamwambia iPhone 13 inazidiwa na Note 8 akielewa. Alafu picha zinapigwa na mzoefu wa simu yake, wewe hapo unayeulizwa umejuaje ni iPhone ukasema umevua cover ndio ukajua huwezi nishawishi kuwa hiyo simu unaielewa kuitumia. Ulikuwa unaishangaa tu
Tatizo la iPhone ni low light basi. Nalo linaonekana kwenye comparison ya flagships za same year
Tulia mkuuNini wewe
Compare plzzNikupe ya saa 1 usiku?
Hana hiyo simu, atapigaje? We unadhani kila mtu anaweza kumiliki hiyo Simu??
Nifungulie safari kubwa hiyo shingo nene kijanaCompare plzzView attachment 2114675
Jamaa kafanye kazi mi natoa lockNifungulie safari kubwa hiyo shingo nene kijana
Wewe umekuja kutumbia umeiona na ukapiga picha uka conclude ni zero… na sisi ambao zimeshapita mikononi mwetu either ziwe za kuazima kwa dk kadhaa kama ilivyokuwa kwako au za ndugu zetu, muhimu ni kuwa camera yake tunaijua so uwache kutudanganya.basi wakae kimyaa
Mkuu weka picha ya iPhone yako sa saivi ingekua poa sanaUmeleta hadithi nyingi sana humuhapa ungeleta na ushahidi wa picha watu wapime unachokisema
Hapa ni huko nje plus mwangaza wa jua unaupata mubashara…
Sis I did a comparison by pointing to the the same object not shooting a photoWewe umekuja kutumbia umeiona na ukapiga picha uka conclude ni zero… na sisi ambao zimeshapita mikononi mwetu either ziwe za kuazima kwa dk kadhaa kama ilivyokuwa kwako au za ndugu zetu, muhimu ni kuwa camera yake tunaijua so uwache kutudanganya.
We upo ndani? Niingie chumbani?Hapa ni huko nje plus mwangaza wa jua unaupata mubashara…
Nimekuonyesha yangu huko juu na niko ofisini ndani