Ipe maneno picha yangu hii

Ipe maneno picha yangu hii

Huenda kuna maonesha ya umiss hapa, namuona paka anapita kwa madaha ya hali ya juu
 
mkuu mzizimkavu hao mbwa wakiamua kumrarua ni sekunde.
 
Hamna lolote,, nyie ni sawa na cdm mbwembwe nyingi ila mnaishia kapa.
 
Naona hao mbwa kama ni maafisa police wa uwanja wa ndege wa China vile.....wakishangaa mtuhumiwa wao waliemkamata na sembe.....akisepa na kurudi zake Tanzania taaartiiibu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom