Noel Ngiama Makanda
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 1,782
- 3,095
Naombeni ushauri maguru wa gadgets, ninafikiria kununua ipad pro, nataka device ya pili mbali na laptop yangu. Swali linakuja, is it worth it? na kama nikinunua, nichukue ipi kati ya WIFI only au WIFI+Cellular? Kuna utofauti wowote(wa kimatumizi) kati ya 2017 na 2018?