mbona iPad ni kama iPhone tu yenye screen kubwa? tofauti gani iliyopo hapa? nadhani tablet ya surface ya Microsoft italeta upinzani kidogo.....
ebhana ndio kaka Chief, ila kuna kitu naomba nkuulize. wanavosema surface itaweza run software za pc, je naweza chukua mfano VLC setup ktk laptop yangu nka install ktk tab ya surface pro? au wanamaanisha nn? pia vipi windows 8 itakua na store yake ya kununua au? connectivity nimeskia ni wifi only, mh ilo sio tatizo kutosupport 3g?