adroids kazi wanayo walikuja na hii personal assistance kwanza na dictation lakini inafanya simu nzima isifanye kazi na inachukua muda mwingi tusubiri tuone iphone itakuwaje. Lakini hawa watu wa apple hawaletagi vitu vimepikwa nusu. wanaletaga vitu vimepikwa vikapikika yaani mpaka ukitumia waona unajiuliza nimeishije bila haka kakitu.