East African Eagle
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 3,759
- 2,209
Kwa maana hiyo hata ukifungua kitu kama mlimani city pale kigali, watakuja watoto wawili watatu wa kagame na mushikiwabo halafu utabaki peke yako na midoli yako....
MKUU UKO SAHII KUNA MTU ALIANDIKA HIVI KULE RWANDA
Although more companies get registered in Rwanda every year, not many celebrate their second birthday.
YANAKUFA KWA KUKOSA SOKO!!!!!
WATU WANADANGANYIKA NA UHARAKA WA USAJILI WANASAHAU KUWA KULE UMASKINI NI MKUBWA SOKO LA BIDDHAA NI DOGO LA WATU WACHACHE WA VIONGOZI NA WATOTO WAO WA KIGALI.
Idadi ya makampuni yanayofungasha virago mwaka mmoja tu toka yaanzishwe RWANDA ni kubwa Rwanda KULIKO NCHI YEYOTE YA AFRIKA MASHARIKA.