Invest in Rwanda

Invest in Rwanda

Acheni kuwaita! Washaona nyie ni wauza unga!!! Yani mnatia aibu kweli, hata nchi jilani mnashindwa kwenda kutalii muone hayo maajabu ya dunia, ule mlima ni Rwanda nahamuwezi kuujuwa kwa sababu Rwanda hakuna soko la unga... Paka mpewe vifurushi vya unga ndio mtoke Bongo!
Dah... Ndio maana jMali anaweza kuwanywesha sumu kirahisi rahisi, na bado...endeleeni kujianika.

Kata mziz wa fitina weka picha..
 
Taratibu tu tutaelewana. Hakuna haja ya kupanic bro. Namuita tu ili tukamatane vizuri maana njia ya muongo ni fupi.
Unadai unaujua, hebu tupe link moja tu ambayo tutaipata hiyo picha inayoonyeshwa katika hiyo video, au hata picha uliyopiga wewe mwenyewe.

Hawa jamaa nimewafatilia mda sana . Ni specialist wa kukanusha. Kijana wa watu jmali kajitaid sana kuwaonyesha mambo yalivyo ila wameshajenga culture yakubisha. ni ngum sana kuwaweka kwenye reli sahih.
 
Muhabura mountain Mount Muhabura - Wikipedia, the free encyclopedia

GahingaMuhabura.png
 
waongezee na hii hapa Karisimbi, hawajuwi kwetu ni country of thousand hills, lakini bado watabisha, yani kuwa teja, kupigika kimaisha, ukachanganya na sumu za jMali mwisho wake ndio haya tunayoyaona kwenye jamiiforums... only in Tanzania ladies and gentlemen...amazing!!!

images
 
All I can see is a hill with sharp top like knife edge not even closer to the one ur advertising on that video lol....
 
All I can see is a hill with sharp top like knife edge not even closer to the one ur advertising on that video lol....

lol... na bado mtachonga sana, wakati mnaowaona wajanja wameiba mpaka panadol hospitalini, hakika utakuwa unaumwa wewe
 
lol... na bado mtachonga sana, wakati mnaowaona wajanja wameiba mpaka panadol hospitalini, hakika utakuwa unaumwa wewe

Na nadhan iyo picture itakua ya late 60s ambapo wale jamaa wajachafua mazingira watakua hawakuepo.Maana ndg zenu wa single visa wangeshawatangaza mda sana.
 
Na nadhan iyo picture itakua ya late 60s ambapo wale jamaa wajachafua mazingira watakua hawakuepo.Maana ndg zenu wa single visa wangeshawatangaza mda sana.

fanya mchezo na vikete... utaishia kudhania mpaka kufa kwako! kumbe kelele zote hata Rwanda hampajuwi? endeleeni kutegemea habari kutoka kwa jMali, come 2020 hatutawaruhusu kuja kuruka ukuta huku kama mlivyo wapa tabu bondeni(SA)
 
fanya mchezo na vikete... utaishia kudhania mpaka kufa kwako! kumbe kelele zote hata Rwanda hampajuwi? endeleeni kutegemea habari kutoka kwa jMali, come 2020 hatutawaruhusu kuja kuruka ukuta huku kama mlivyo wapa tabu bondeni(SA)

Usijali Rwanda tutakuja tu... Kwa adverts za watoto wazuri wakinyarwanda kama hao kwenye iyo video ondoa shaka tutakuja. Nasikia sikuizi wamemwagwa pale Udsm.Ila niwashauri msijidanganye vivutio vya wenzenu haviwezi kupaisha utalii wenu nyie komaeni tu na mafuvua I asure u yanaweza kuwalipa zaidi ya huo ulaghai mnaofanya.
 
alafu kuna hawa wanaitwa crystal venture kampun ya kagame na inner circle sycophant wake ukianza kua successful kidogo tu wanakuja taifisha wanakutisha wanatangaza eti ni abandoned property!!! ni many'ang'au kweli kweli hao crystla venture ndio wana control all business kule rwanda, eti rwanda itakua food basket for east and central really? kwa ardhi ipi potelea mbali know how na rutuba!!!

sasa huo mlima kilimanjaro uko rwanda? kuna simba rwanda? these guy are unbelievable greedy!!!
 
ila kuna mtanzania ka invest rwanda, na wana mkubali mashallah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom