murutongore
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 2,051
- 639
Last edited by a moderator:
tajiri gani wa rwanda wewe, masikini tu mmejazana hapo ndio uje kuinvest tz? mbona mnapenda utani nyie? what do you have in rwanda kwama utakuwa na uwezo kuinvest tz....nyie ndeleeni kufagia barabara na kula viazi ili mzidi kupokea sifa. kalaga baho.i have friends in kigali, and they all want to invest in Tanzania, but they can not making reference to a hot situation in between our top guys, i guess with time they will, many Rwanda's prefer Tanzania as their investment destination compared to other E.A Countries especially Kenya.
umeelewa nilichokiandika mkuu?? nani mtani jembe unakwenda uwanjani leo??tajiri gani wa rwanda wewe, masikini tu mmejazana hapo ndio uje kuinvest tz? mbona mnapenda utani nyie? what do you have in rwanda kwama utakuwa na uwezo kuinvest tz....nyie ndeleeni kufagia barabara na kula viazi ili mzidi kupokea sifa. kalaga baho.
jamaa wajinga kweli. humo ndani nimeuona hadi mlima kilimanjaro
hatua stahiki ni rahisi tu, na sisi kutengeneza movie kama hiyo kuwaambia watu mt. kilimanjaro is not in Rwanda, you can never find it in kigali, come to tz. pia waambiwe serengeti na hao simba wapo tz sio rwanda. hapo patakuw apatamu.kama kamanda mmoja hapo juu, walichotuzidi rwanda ni wanawake tu, ila vingine hawana.Ni kweli wameonyesha hadi mlima Kilimanjaro nafikiri hii video kama ni official wajulishwe watu wa Tanzania Tourist Board na wizara ya mali ya asili na utalii waitizame kwa taratibu halafu waangalie kama kuna hatua stahiki za kuchukua kama kuna uhalifu wa wazi au utapeli wa kutapeli watalii au makampuni ya watalii ya nje ya nchi kwenye hilo tangazo
The person who made this video should have titled it "INVEST IN KIGALI" Not "INVEST IN RWANDA" because 99.9 percent of what has been potrayed in pictures in the video is about Kigali not Rwanda as a country.
hatua stahiki ni rahisi tu, na sisi kutengeneza movie kama hiyo kuwaambia watu mt. kilimanjaro is not in Rwanda, you can never find it in kigali, come to tz. pia waambiwe serengeti na hao simba wapo tz sio rwanda. hapo patakuw apatamu.kama kamanda mmoja hapo juu, walichotuzidi rwanda ni wanawake tu, ila vingine hawana.
Jamaa wajinga kweli. humo ndani nimeuona hadi mlima kilimanjaro, na magari ya kubeba watalii yale ya serengeti na ngorongoro. wameonyesha simba na wanyama wengine kibao ambao Rwanda hawapo. the only tourist attraction you have in Rwanda is gorilla and women. hakuna mlima kilimanjaro, hakuna mbuga ya wanyama wengine mle kwenye milima. hadi nawaonea huruma.