invalid downloaded jar

invalid downloaded jar

mtamanyali

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2011
Posts
1,161
Reaction score
616
jamani wadau naombeni msaada. mimi natumia sumsung chat GT-C3222 kila nikidownload software kama vile operamin inaniambia invalid downloaded jar tafadhali nisaidieni.
 
samsung anatengeneza simu za java then hazisupport karibia 90% ya java apps zimetengenezwa kwa ajili ya nokia inakua ni kama coincidence tu kutokea kufanya kazi kwenye samsung.

Ikiandika invalid jar file ina maana hilo file la jar halipo compatible na simu yako better utafute website inayotambua aina za simu wakati wa kudownload

Pia jengine la muhimu kumbuka simu yako ni 320x240 (kioo kipana kuliko urefu) na apps za java nyingi ni 240x320 (ndefu kuliko upana) so wakati unatafuta apps ulieke kwenye consideration maana za 240x320 zinaweza kuandika invalid pia
 
samsung anatengeneza simu za java then hazisupport karibia 90% ya java apps zimetengenezwa kwa ajili ya nokia inakua ni kama coincidence tu kutokea kufanya kazi kwenye samsung.

Ikiandika invalid jar file ina maana hilo file la jar halipo compatible na simu yako better utafute website inayotambua aina za simu wakati wa kudownload

Pia jengine la muhimu kumbuka simu yako ni 320x240 (kioo kipana kuliko urefu) na apps za java nyingi ni 240x320 (ndefu kuliko upana) so wakati unatafuta apps ulieke kwenye consideration maana za 240x320 zinaweza kuandika invalid pia

Safi sana maelezo yako.
 
samsung anatengeneza simu za java then hazisupport karibia 90% ya java apps zimetengenezwa kwa ajili ya nokia inakua ni kama coincidence tu kutokea kufanya kazi kwenye samsung.

Ikiandika invalid jar file ina maana hilo file la jar halipo compatible na simu yako better utafute website inayotambua aina za simu wakati wa kudownload

Pia jengine la muhimu kumbuka simu yako ni 320x240 (kioo kipana kuliko urefu) na apps za java nyingi ni 240x320 (ndefu kuliko upana) so wakati unatafuta apps ulieke kwenye consideration maana za 240x320 zinaweza kuandika invalid pia

bt still pocbo kuchange screen resolution using class editor
 
bt still pocbo kuchange screen resolution using class editor

Si kweli class editor inadanganya tu simu kua ile apps inatakiwa isomwe kwa resolution flani lakini content inabaki vile vile

Mfano ukirun 320x240 kwenye 240x320 basi kuna vitu either kulia au kushoto hutaviona
 
samsung anatengeneza simu za java then hazisupport karibia 90% ya java apps zimetengenezwa kwa ajili ya nokia inakua ni kama coincidence tu kutokea kufanya kazi kwenye samsung.

Ikiandika invalid jar file ina maana hilo file la jar halipo compatible na simu yako better utafute website inayotambua aina za simu wakati wa kudownload

Pia jengine la muhimu kumbuka simu yako ni 320x240 (kioo kipana kuliko urefu) na apps za java nyingi ni 240x320 (ndefu kuliko upana) so wakati unatafuta apps ulieke kwenye consideration maana za 240x320 zinaweza kuandika invalid pia

chief hii kitu mm nshajaribu mpaka nimechoka kabisa. Unakuta simu inakuwa detected kabisa kuwa ni samsung aina fulani lakini bado inafeli. Hakuna hata app 1 inayokubali hata 1!!! inamaana hii cm haiko compatible na app zoote hizo? Kuhusu resolution sio tatizo sana ingawa ina-mata. Nlijaribu jutengeza simple JAR app ambayo iko empty kwa kutumia screen za saiz tofauti lakini bado napata the same messsage!!!!
 
chief hii kitu mm nshajaribu mpaka nimechoka kabisa. Unakuta simu inakuwa detected kabisa kuwa ni samsung aina fulani lakini bado inafeli. Hakuna hata app 1 inayokubali hata 1!!! inamaana hii cm haiko compatible na app zoote hizo? Kuhusu resolution sio tatizo sana ingawa ina-mata. Nlijaribu jutengeza simple JAR app ambayo iko empty kwa kutumia screen za saiz tofauti lakini bado napata the same messsage!!!!

Website nyengine wanafanya grouping ya simu na hawajatest kabisa kua apps inafanya kazi na simu hio.

hebu jaribu kudownload website kama mobilerated then nambie inakataa?
 
Website nyengine wanafanya grouping ya simu na hawajatest kabisa kua apps inafanya kazi na simu hio.

hebu jaribu kudownload website kama mobilerated then nambie inakataa?

ok. tajaribu hii kitu manake hata cm yenyewe nshaigawa baada ya kuona ni useless kwa kushindwa kuinstall any app.
 
Samsung huchagua sana screen size hata kwa videos. But jaribu kudownload getjar.com hawa wanakupa apps ambazo zinaendana na simu yako
 
Back
Top Bottom