Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
Njia ambayo najua unaweza kuinstall whatsapp kwenye iPhone ni hadi u jailbreak iPhone yako na Uinstall Cydia as you app store. Cydia app store itakuwezesha ku install application mbali za iOS bure na pia kuchange Theme na appearance ya simu yako vyovyote utakavyo.
Skype inakufa? Competition
Then what are you waiting for? Give it a shot!
Mkuu Young Master Hii mpak uwe na simu yenye Wifi ndio inakubali nimeshaiweka tangu juzi inaniuliza simu ya mkono yenye Wifi kama huna haitokubali kufanya kazi asante kwa ushauri wako.Kampuni ya Viber Media Inc amabayo imekuwa ikitoa huduma ya kupiga simu na kutuma au kupokea ujumbe mfupi wa maandishi kwa kutumia application yao ya Viber sasa wamepiga hatua na kuamua kuzindua application hiyo kwa watumiaji wa Windows na Mac.
Watumiaji wa computer za Windows na Mac wataweza kupiga simu, kutuma au kupokea ujumbe mfupi wa maandishi kwenda au kutoka kwa mtumiaji yoyote wa Viber duniani kote.
Ili uweze kutumia Viber kwenye Windows au Mac unachotakiwa kufanya ni kutembelea Viber - Free calls, Free text messages, photo and location sharing na kudownload application hiyo na kisha kuinstall kwenye PC yako.
Ukisha install utatakiwa kuingiza namba yako ya simu ambayo ulikuwa ukiitumia kwenye application ya Viber ambayo tayari umekwisha install kwenye simu yako.
Baada ya kuingiza namba yako ya simu kwenye application yako ya Viber ya Windows au Mac utatumiwa activation code kwenye application yako ya Viber iliyokwisha kuwa installed kwenye simu yako.
Baada ya hapo utatakiwa kuingiza code hizo ulizotumiwa kwenye application yako ya Viber ya Mac au Windows na u-click on activate. Baada ya hapo PC yako itakuwa imeunganishwa na application ya Viber.
Furahi kupiga au kupokea simu na kutuma au kupokea sms duniani kote ukiwa Viber.
sio lazima wi-fi maana huku mimi nimeitumia siku zilizopita kuwasiliana na mamaa bila wi-fi kupiga na kutext bila chengaMkuu Young Master Hii mpak uwe na simu yenye Wifi ndio inakubali nimeshaiweka tangu juzi inaniuliza simu ya mkono yenye Wifi kama huna haitokubali kufanya kazi asante kwa ushauri wako.
sio lazima wi-fi maana huku mimi nimeitumia siku zilizopita kuwasiliana na mamaa bila wi-fi kupiga na kutext bila chenga
Naam, Nokia E66 itakubali mkuu.
Katika picha uliyoweka hapo juu kwenye post yako inaonyesha kama vile viber ina-support video calling, je ni kweli?Naah!!! Skype bado ipo...ila inaweza ikapigwa gepu na hii Viber maana naona nao wanakuja kwa kasi ya ajabu.
Mbona inakataa kuingia kwenye blackberry 8520 au ni ya kizamani nini?
Mkuu Young Master Hii mpak uwe na simu yenye Wifi ndio inakubali nimeshaiweka tangu juzi inaniuliza simu ya mkono yenye Wifi kama huna haitokubali kufanya kazi asante kwa ushauri wako.
Katika picha uliyoweka hapo juu kwenye post yako inaonyesha kama vile viber ina-support video calling, je ni kweli?
Imegoma kusupport ktk Nokia E66
ahsante mdogo wangu Young Master kwa taarifa nzuri.... 🙂
Nijuavyo viber kwa blackberry ni texting only vouce haifanyi bado
Naitumia kwenye android. ..I was just clearing someone's doubt on viber for blackberry.Sijawahi kuitest Viber kwenye BlackBerry but for Android it works just fine. Alternatively unaweza kuinstall Viber kwenye PC yako ya kumake Voice and Video calls kama vile upo kwenye simu yako.