Kwa mazingira ya bongo bila SIM hizo ndude ni buure,usilinganishe na wakati huo juu ya laptop kutokuwa na SIM kunatokana na mazingara ya wakati huo,enzi hizo kulikuwa hakuna mambo ya modem,lakini siku hizi pamoja na laptop kutokuwa na option ya SIM lakini ina option ya kutumia modem,sasa tablet bila kuwa na SIM utatumiaje chukulia niko njiani nasafiri au niko vijijini,nafaikiri hao jamaa wamelenga soko la Majuu ambako huenda Wi-Fi connection ipo kila mahala