Mkuu mbona now ipo epsode 5, Tilda na Mama yake wanaungana, M.K anaungana na yule black plugjam kama sijakosea jina lake then soon Suuny ata join kwa yule black.... Epsode six itakuwa fireeeeeeHapa ninahamu nannaisubiria episode ya 4 nahisi leo inatoka
Umedandia treni kwa mbele! Ina maana kusoma hujui?Hivi huwaga ni li nini hilo mnalolidiscuss
Kadili inavyokwenda inazidi kunogaMimi nimeangalia mpaka season 3 episod ya tano baji na sani wapo hai na wako pamoja muda wote na yule mtoto mchanga wa sani anaumwa sana hali sio shwari ila saeson 3 ndio noma kuliko season 1&2
Wooiii
Epi 4 ishatoka?
Aiseee hiv Yule black plagirm mbona simwelew elew aiseeMkuu now tunasubiri epsode 6 tarehe 27 mwezi huu
hahahaha hata mimi kuna muda simwelewiAiseee hiv Yule black plagirm mbona simwelew elew aisee
Nimeanza mwanzo lakini sielewi kabisa swahibaUmedandia treni kwa mbele! Ina maana kusoma hujui?
unasubiri nini kuelekea chit-chat au ni lazima kila mada uielewe!?Nimeanza mwanzo lakini sielewi kabisa swahiba
Basi yaishee mkuu naondokaunasubiri nini kuelekea chit-chat au ni lazima kila mada uielewe!?