Nipo kuanzia saa 1 na nusu hv asubuhi na usaili walisema unaanza saa 2 na nusu...lakini cha kushangaza mpaka mida hii ya saa 3 hv hakuna kinachoendelea...kweli aliyesgiba hamkumbuki mwenye njaa...na kama ajira zenyewe ndo hv waajili badilikeni....cha msingi zingatueni muda na ss tuna mambo mengi mengine ya kudanya jamani...nawasilisha kwa wana jamii kwangu nimeona ni tatizo sijui ww.
Nipo kuanzia saa 1 na nusu hv asubuhi na usaili walisema unaanza saa 2 na nusu...lakini cha kushangaza mpaka mida hii ya saa 3 hv hakuna kinachoendelea...kweli aliyesgiba hamkumbuki mwenye njaa...na kama ajira zenyewe ndo hv waajili badilikeni....cha msingi zingatueni muda na ss tuna mambo mengi mengine ya kudanya jamani...nawasilisha kwa wana jamii kwangu nimeona ni tatizo sijui ww.
Nipo kuanzia saa 1 na nusu hv asubuhi na usaili walisema unaanza saa 2 na nusu...lakini cha kushangaza mpaka mida hii ya saa 3 hv hakuna kinachoendelea...kweli aliyesgiba hamkumbuki mwenye njaa...na kama ajira zenyewe ndo hv waajili badilikeni....cha msingi zingatueni muda na ss tuna mambo mengi mengine ya kudanya jamani...nawasilisha kwa wana jamii kwangu nimeona ni tatizo sijui ww.
Jamani kwa wale wliofanya interview ya LAPF pale duce kuna maelekezo yoyote walitoa baada ya interview kuisha na kuhusu picha vp walikusanya coz mi nilipata dharula niliwahi kuondoka mara baada tu ya kumaliza ili written interview..
Utajurishwa kwa njia ile ile uliyoitwa kwenye usaili wa kuandika...so kama wataona unafaa watakuita kwenye usaili wa kuongea...lakini tutegemee lolote kiongozi,,,