Wadau natanguliza salam. jamani mwenye genuine info kuhusu wale waliofanya usahili wa kuandika UDOM na ivo kusubiria kuitwa kwenye usahili wa pili atujuze, maana mda naona umepita vile.
Jaman hao udom ni maandazi sana walisema tar 17 ndo wangetoa majina ya watu waliofaulu written wajiandae kwa oral sasa mpk leo kimya...sasa hicho ni chuo kinachojielewa kweli jaman?
mkuu nakushauri ufanye mambo yako mengine coz kama walisema wataweka majina bado hawajaweka na hata wakiweka huwez jua matokeo yatakuaje so piga mishe zingine apply sehem nyingine uku ukiendelea kusikilizia... kila la heri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.