Interview TAA(Mamlaka ya viwanja vya ndege)

Interview TAA(Mamlaka ya viwanja vya ndege)

Salaaam,

Shemeji yenu amebahatika kuitwa kwenye interview ya Nafasi ya Operation Officer TAA(Mamlaka ya Viwanja vya ndege)
Naombeni msaada kwa possible questions na pia asome nini na nini.

Ni hayo tu kwa sasa....!

Bonde la Baraka na wadau wote
Mwambie apitie humu anaweza pata pa kuanzia
 

Attachments

Soma notes zinazohusiana na duties zako kiongozi ingekuwa rahisi kukupa muongozo kama tungeona duties
 
Soma notes zinazohusiana na duties zako kiongozi ingekuwa rahisi kukupa muongozo kama tungeona duties
Ile niliyofanya wiki iliyopita Dom, niliishi kwenye duties nikaletewa mengine, nikakandwa.

Juzi pia Duce nikajitahidi kusoma random ndani ya taalum, ila ilikandwa pia.

Kiufupi pepa kuitabiria ni vigumu, ila asiache kufuata miongozo mnayompa
 
Back
Top Bottom