Interview TAA(Mamlaka ya viwanja vya ndege)

Interview TAA(Mamlaka ya viwanja vya ndege)

Ile niliyofanya wiki iliyopita Dom, niliishi kwenye duties nikaletewa mengine, nikakandwa.

Juzi pia Duce nikajitahidi kusoma random ndani ya taalum, ila ilikandwa pia.

Kiufupi pepa kuitabiria ni vigumu, ila asiache kufuata miongozo mnayompa
asaivi naona wanatoa popote ilimradi ikiwa inaendana na hiyo field basi
 
Sasa Jana watu wa Technician II (Electo Mechanical / Mechanical Technician ) walitupa maswali ambayo hatukuamini kama yatatokea. Mtihani hautabiriki jamani
 
Kutokana na kozi walizoorodhesha kwenye tangazo yani kama geology,geochemist ujue swali litatoka popote kati ya hizo
Kama course ni zaidi ya Moja , jiandae kusoma duties and responsibilities
 
Sasa Jana watu wa Technician II (Electo Mechanical / Mechanical Technician ) walitupa maswali ambayo hatukuamini kama yatatokea. Mtihani hautabiriki jamani
Walitoaje mkuu nijaribu kibeti tarehe 19 Nina interview
 
Ile niliyofanya wiki iliyopita Dom, niliishi kwenye duties nikaletewa mengine, nikakandwa.

Juzi pia Duce nikajitahidi kusoma random ndani ya taalum, ila ilikandwa pia.

Kiufupi pepa kuitabiria ni vigumu, ila asiache kufuata miongozo mnayompa
Duce ilikua inahusu n nino
 
Utumishi wanatoa majina usiku na unatakiwa kuwepo dodoma asubuhi.
Written si imefanyikia Dom?

Kabla Interviwee aliondoka kabla ya majibu ya written halafu akaitwa oral, basi yupo kwenye risk ya kuikosa.
 
Kada zote wametoa majina ila TAA wametoa za mechanical tu, naona ngoma ishamalizwa ju kwa ju maana oral ni kesho
 
Back
Top Bottom