Interview M-POWER (Off-Grid Electric Coy)

Kama huna kazi wala experience nakushauri nenda tu,mshahara wao unaridhisha kiasi..ila kama ni sharobaro nakushauri achana nao.
 
Si mlisema hapa kazi Tu sasa mbona mnachagua kazi nendeni mkapige kaz mshahara me nimeanza na laki tano na nusu tulisailiwa mwenz wa tisa
 

Wadau natafuta walioitwa kwenye interview wiki hii arusha
 

Blazaa we kaa kitaa subiria kazi ya career yako
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…