Kama coz umeisoma miaka mitatu full time leo wataka pewa vtu kwa week moja tu shame on u,kwa kukusaidia make sure umeipitia CV yako vizur,maswal meng yanatokana na jins ulvoiandaaa cV yako,majibu yako pia yanaweza anzisha maswal pia make sure unajib kitu chote kizima paspo weka doubt,jiandae kwenda kutana na watZ wenye roho zao kule,Mungu akutangulie