tototundu
Senior Member
- Jul 29, 2009
- 198
- 40
Nitanunua na kutest internet ya TTCL Mobile nione ikoje.
Kilicho ni interest ni hizi bei zao mpya.
Wameweka matangazo kwenye redio na other media kuwa sasa unaweza kupata modem ya ttcl kwa under Tshs 30,000, hizo ni habari njema, na pia utapata 50mb kwa shilingi 1500, na 1Gb kwa shilingi 8000.
Kilichonishangaza kidogo, 1Gb kwa shilingi 8000, 4GB kwa shilingi 90,000!, jamani inaleta sense hii, hakuna harufu ya uchakachuaji hapa?
Other data, walikuwa (au bado wana) charge, according to website yao, EVDO, bundles zifuatazo:
500MB at a price of TZS 40,000.00, 1GB at a price of TZS 70,000.00 na 2GB at a price of TZS 100,000.00
nini kimewafanya wa deviate so much kutoka their original prices?
Kilicho ni interest ni hizi bei zao mpya.
Wameweka matangazo kwenye redio na other media kuwa sasa unaweza kupata modem ya ttcl kwa under Tshs 30,000, hizo ni habari njema, na pia utapata 50mb kwa shilingi 1500, na 1Gb kwa shilingi 8000.
Kilichonishangaza kidogo, 1Gb kwa shilingi 8000, 4GB kwa shilingi 90,000!, jamani inaleta sense hii, hakuna harufu ya uchakachuaji hapa?
Other data, walikuwa (au bado wana) charge, according to website yao, EVDO, bundles zifuatazo:
500MB at a price of TZS 40,000.00, 1GB at a price of TZS 70,000.00 na 2GB at a price of TZS 100,000.00
nini kimewafanya wa deviate so much kutoka their original prices?