Internet ya TTCL Mobile na na bei Internet bundles kwa ujumla

tototundu

Senior Member
Jul 29, 2009
198
40
Nitanunua na kutest internet ya TTCL Mobile nione ikoje.
Kilicho ni interest ni hizi bei zao mpya.
Wameweka matangazo kwenye redio na other media kuwa sasa unaweza kupata modem ya ttcl kwa under Tshs 30,000, hizo ni habari njema, na pia utapata 50mb kwa shilingi 1500, na 1Gb kwa shilingi 8000.

Kilichonishangaza kidogo, 1Gb kwa shilingi 8000, 4GB kwa shilingi 90,000!, jamani inaleta sense hii, hakuna harufu ya uchakachuaji hapa?

Other data, walikuwa (au bado wana) charge, according to website yao, EVDO, bundles zifuatazo:
500MB at a price of TZS 40,000.00, 1GB at a price of TZS 70,000.00 na 2GB at a price of TZS 100,000.00

nini kimewafanya wa deviate so much kutoka their original prices?

ttcl3.JPG
 
Wameweka matangazo kwenye redio na other media kuwa sasa unaweza kupata modem ya ttcl kwa under Tshs 30,000, hizo ni habari njema, na pia utapata 50mb kwa shilingi 1500, na 1Gb kwa shilingi 8000.

Mkuu hebu tutajie hizo media nyingine!!
 
Mimi nina modem ya ttcl na ninachofahamu wana charge kwa time na si kwa bundle kama wengine. Wao wana huduma inaitwa Banjuka ndio ukiunganishwa nayo una access internet yao kwa speed ya 3mbps. So unaweza kudownload any thing just within a time na fixed rate zao na 1000/- kwa saa kuanzia saa12asb mpaka saa 11 jioni, 800/- kwa saa kuanzia saa 11 jioni hadi saa 3 usiku. Na 500/- kwa saa kuanzia saa 3 usiku mpaka 12 asb.
 
Mimi nimetumia TTCL Internet ya EVDO tangu wanaanzisha. Yafuatayo ndio sahihi
Unaweza kutumia hata zaidi ya GB 1 kwa lisaa endapo utajiunga na promotion ya Banjuka ambapo kila saa moja unapata unlimited download/uploads kwa sh 1000 mchana na sh 800 wkati wa usiku
2. Speed yake ni bomba sana
3. Hakuna uchakachuaji kama Voda, unaomba bando saa moja, msg ya comfirmation inakuja saa 8 usiku
4. Network hailatikati hovyo
5. kWAKuwa TTCL ndio wanaoumiliki Mkongo wa mawasiliano na wao tayari wameshajiunga huko (naamini hakuna mtandao wowote uliomanage kujiunga Voda walikuwa wanajiandaa kwa dsm tu) speed na price zinafurahisha.
6. Kumbukeni TTCL mobile ya TTCL ni CDMA sio GSM kama Voda, Tigo na Zain/Celtel/ Airtel/ Shuzitel

CHANGAMOTO.
cOVERAGE! VIJIJINI usiitegemee TTCL
 
Mimi nimetumia TTCL Internet ya EVDO tangu wanaanzisha. Yafuatayo ndio sahihi
Unaweza kutumia hata zaidi ya GB 1 kwa lisaa endapo utajiunga na promotion ya Banjuka ambapo kila saa moja unapata unlimited download/uploads kwa sh 1000 mchana na sh 800 wkati wa usiku
2. Speed yake ni bomba sana
3. Hakuna uchakachuaji kama Voda, unaomba bando saa moja, msg ya comfirmation inakuja saa 8 usiku
4. Network hailatikati hovyo
5. kWAKuwa TTCL ndio wanaoumiliki Mkongo wa mawasiliano na wao tayari wameshajiunga huko (naamini hakuna mtandao wowote uliomanage kujiunga Voda walikuwa wanajiandaa kwa dsm tu) speed na price zinafurahisha.
6. Kumbukeni TTCL mobile ya TTCL ni CDMA sio GSM kama Voda, Tigo na Zain/Celtel/ Airtel/ Shuzitel

CHANGAMOTO.
cOVERAGE! VIJIJINI usiitegemee TTCL

kama ulikuwa hujafahamu hii promo mpya ya 1Gb kwa sh 8000, kaa karibu na redio, hasa hasa stesheni ya Clouds, ingawa pia naanza kupata mwanga kuwa si watu wengi Tanzania wanaosikiliza hiyo redio kama inavyosemekana
 
wana spid nzuri eeh?mi nachopenda ni spid tu the rest tutajua hko mbele kwa mbele.
 
kama ulikuwa hujafahamu hii promo mpya ya 1Gb kwa sh 8000, kaa karibu na redio, hasa hasa stesheni ya Clouds, ingawa pia naanza kupata mwanga kuwa si watu wengi Tanzania wanaosikiliza hiyo redio kama inavyosemekana

Nani asikilize redio ya kimbea na udaku?? niambie nyingine, mara kibao hiyo radio inapotosha watu!!
 
Mimi nimetumia TTCL Internet ya EVDO tangu wanaanzisha. Yafuatayo ndio sahihi
Unaweza kutumia hata zaidi ya GB 1 kwa lisaa endapo utajiunga na promotion ya Banjuka ambapo kila saa moja unapata unlimited download/uploads kwa sh 1000 mchana na sh 800 wkati wa usiku
2. Speed yake ni bomba sana
3. Hakuna uchakachuaji kama Voda, unaomba bando saa moja, msg ya comfirmation inakuja saa 8 usiku
4. Network hailatikati hovyo
5. kWAKuwa TTCL ndio wanaoumiliki Mkongo wa mawasiliano na wao tayari wameshajiunga huko (naamini hakuna mtandao wowote uliomanage kujiunga Voda walikuwa wanajiandaa kwa dsm tu) speed na price zinafurahisha.
6. Kumbukeni TTCL mobile ya TTCL ni CDMA sio GSM kama Voda, Tigo na Zain/Celtel/ Airtel/ Shuzitel

CHANGAMOTO.
cOVERAGE! VIJIJINI usiitegemee TTCL

Mkuu unatumia modem ya ttcl aina gani?najua wao ni huawei but cjui wewe unatumia model ipi,mana mimi pia nina modem ya ttcl but nahic ni ya zamani sana na pia naomba unielekeze jinc ya kujiunga na hiyo ofa ya banjuka!
 
Mimi nimetumia TTCL Internet ya EVDO tangu wanaanzisha. Yafuatayo ndio sahihi
Unaweza kutumia hata zaidi ya GB 1 kwa lisaa endapo utajiunga na promotion ya Banjuka ambapo kila saa moja unapata unlimited download/uploads kwa sh 1000 mchana na sh 800 wkati wa usiku
2. Speed yake ni bomba sana
3. Hakuna uchakachuaji kama Voda, unaomba bando saa moja, msg ya comfirmation inakuja saa 8 usiku
4. Network hailatikati hovyo
5. kWAKuwa TTCL ndio wanaoumiliki Mkongo wa mawasiliano na wao tayari wameshajiunga huko (naamini hakuna mtandao wowote uliomanage kujiunga Voda walikuwa wanajiandaa kwa dsm tu) speed na price zinafurahisha.
6.Kumbukeni TTCL mobile ya TTCL ni CDMA sio GSM kama Voda, Tigo na Zain/Celtel/ Airtel/ Shuzitel
CHANGAMOTO.
cOVERAGE! VIJIJINI usiitegemee TTCL

Mzito nadhani hujawahi kutumia ISP from vodacom before, Modem ya Vodacom ina uwezo wa WCDMA, EDGE na HSDPA kwa data speed kubwa kabisa ya 7.2MBPS tofauti na Airtel na Zantel zenye speed ya 3.6MBPS..mimi natumia Unlimited Internet Service kwa 30,000/= na nafanya Downloads zaidi ya 15GB kwa mwezi..kwa watumiaji wakubwa wa internet, Unlimited Internet from vodacom inawafaa na kwa wenye matumizi madogo madogo kama kucheki mail, facebook, skype etc, Airtel ya 400MB inawafaa!! i may say TTCL comes 5th after Vodacom, Tigo, Airtel and Zantel.. :A S-key:
 
Unlimited Internet Service kwa 30,000/= na nafanya Downloads zaidi ya 15GB kwa mwezi..kwa
GB15 kwa siku 30? kwa hii hii speed ya voda ya 64kbps ? una download 24 hrs? ngoja nipige hesabu vizuri maana naona umechakachua maneno yako mwenyewe.
 
GB15 kwa siku 30? kwa hii hii speed ya voda ya 64kbps ? una download 24 hrs? ngoja nipige hesabu vizuri maana naona umechakachua maneno yako mwenyewe.

Uncle natumia Unlimited Internet mwezi wa nne sasa na nilivyoanza kutumia nilikuwa na modem yenye uwezo wa 3G, ambayo speed haikuwa kubwa sana lakini baada ya kupata 3.5G speed imeongezeka. natumia torrent files katika downloads na kwa torrents zenye peers wengi speed hufika mpaka 100-170kbps usiku. vilevile nimefanya comparison ya hizo modem mbili katika browsing the internet, 3.5G ipo fast sana beyond ur expectations..with 3.5G modem, its possible to do downloads beyond 15GB per month if downloads are made regularly..!!fanyia utafiti hilo uone :A S-key:...
 
15 gb umeniibia hela zngu hapo! Labda sema 6 to 7 gigs/month! Nlijaribu kudownload wndows 7 ambayo ilikua na seeds 24,000 na zaid!but ilichkua cku kama 8 kumaliza na ilikua ina gb 3.8,so angalia unachosema.
 
Mkuu unatumia modem ya ttcl aina gani?najua wao ni huawei but cjui wewe unatumia model ipi,mana mimi pia nina modem ya ttcl but nahic ni ya zamani sana na pia naomba unielekeze jinc ya kujiunga na hiyo ofa ya banjuka!
Mkuu EVDO za TTCL zimetengenezwa na kampuni ya HUAWEI, ni sawa na simu yako itengenezwe na kampuni ya NOKIA, SAMSUNG, VODAFONE Etc. Kwahiyo Modem za TTCL pamoja na simu zao ni za Huawei. Huawei ni kampuni ya kichina iliyobobea kwenye teknolojia ya kisasa ya CDMA ambayo TTCL ndio wanayoitumia.
Version huwa zinatoka mpya mpya kila mara, ukitaka kujiunga na BANJUKA, tumia simu ya TTCL wether ni Mobile au LANDLINE, PIGA NAMBA 135, Ukishapokelewa mwambie aliyekupokea akutransfer kitengo cha Internet, hapo sasa utamwambia huyo mtoa huduma akuunganishe na Banjuka
 
Mkuu EVDO za TTCL zimetengenezwa na kampuni ya HUAWEI, ni sawa na simu yako itengenezwe na kampuni ya NOKIA, SAMSUNG, VODAFONE Etc. Kwahiyo Modem za TTCL pamoja na simu zao ni za Huawei. Huawei ni kampuni ya kichina iliyobobea kwenye teknolojia ya kisasa ya CDMA ambayo TTCL ndio wanayoitumia.
Version huwa zinatoka mpya mpya kila mara, ukitaka kujiunga na BANJUKA, tumia simu ya TTCL wether ni Mobile au LANDLINE, PIGA NAMBA 135, Ukishapokelewa mwambie aliyekupokea akutransfer kitengo cha Internet, hapo sasa utamwambia huyo mtoa huduma akuunganishe na Banjuka

ina maana huwez kujiunga mwenyewe kwa sms?ushaanza kunipa sababu za kutonunua hyo mdm...wats ths?
 
Back
Top Bottom