middo lulyheart
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 260
- 98
Waziri wa ulinzi wa nchi ya urusi ameweka wazi kwamba internet kote duniani ipo chini ya kitengo cha usalama cha nchini marekani CIA na amewaonya watumiaji juu ya google searches!
Waziri wa ulinzi wa nchi ya urusi ameweka wazi kwamba internet kote duniani ipo chini ya kitengo cha usalama cha nchini marekani CIA na amewaonya watumiaji juu ya google searches!
Waziri wa ulinzi wa nchi ya urusi ameweka wazi kwamba internet kote duniani ipo chini ya kitengo cha usalama cha nchini marekani CIA na amewaonya watumiaji juu ya google searches!
sasa kama internet iko chini ya cia,hata ukibadili search engine nadhani bado watakupata.
Kazi tunayo
Snowden mwenyewe alisema,namnukuu" you can not hide from those guys,they have thirteen ways to hack on you,f.uck those guys"
As long tunatumia vifaa vya elekroniki,huwezi kujificha kwa wale jamaa. Kazi tunayo mkuu.seva zote za makampuni makubwa ulimwenguni yako kwao,yahoo,gugo,watsup,viber,facebook,firefox,bing,microsoft,sijui skype,nk. Imeshakula kwetu.
Niliwahi sikia ni google,bing na search engine nyingine za kimagharibi ndio jamaa wanakuona kila ufanyacho. Ndio maana china na urusi wana search engine zao na satellite zao ambazo si lazima wapitie google kufanya mambo yao,that means wana internet zao. Google wakitumia ni kwa mambo ya public na yasiyo sensitive.sasa kama internet iko chini ya cia,hata ukibadili search engine nadhani bado watakupata.
Ila mkuu watu wanaogopa tu naona hata kama USA wanafatilia mambo ---- ila kuna watu na watu. Sasa kama mfano wewe ni mtu wa kijijini kazi yako kulima na kuwatsapuka unadhani watakufata ili iweje?? Hakunaga siri duniani siku hizi...
Niliwahi sikia ni google,bing na search engine nyingine za kimagharibi ndio jamaa wanakuona kila ufanyacho. Ndio maana china na urusi wana search engine zao na satellite zao ambazo si lazima wapitie google kufanya mambo yao,that means wana internet zao. Google wakitumia ni kwa mambo ya public na yasiyo sensitive.
Kaka unachosema ni sahihi soma hapa uone ni kweli USA ndiyo walianzisha mambo ya internet board kwa ajiri ya kusimamia mambo haya.Ninachotaka watanzania mjue kuhusu technology in this case internet is " you are being watched" no matter uko nchi gani kwa hiyo hilo suala ulilosema wabongo tusihofu si kweli.Ila kwa wizara nyeti au vitengo nyeti huwa haishauriwi computer zenye data muhimu(top secrete) kuwa connected kwenye internet.if you can see them they can see you,namanisha kama unaweza kwenda kwenye internet na kupata information vivyo hivyo watu wanaweza kupata information kutoka kwako.Watakuja hapa watu wa komputa kutusahdia ila nasikia asilimia zaidi ya 90 ya data zote lazma zipitie marekani,pia nasikia data zina tabia ya kupendelea kupitia kwenye mteremko,sehem yenye miundombinu mizuri ya internet,na marekani ndio wako vizuri,lazma zipitie kule ndio zikufikie,watazipata
pia kuna kitu kinaitwa DNS,Domain savers system,inayohusu address zote,zaidi ya 90% ya hizo kitu iko marekani,kwa hiyo hata uwe na search engine yako lazma hao jamaa watakupata,,snowden alisema there is no way you can hide from those guys. Hatari,ila bongo hatutakiwi kua na wasiwasi,hatuwahusu sana.
Njoo kwenye simu,karibu asilimia 100
ya operating system zote za cm na computer ziko marekani,na kila ukiwa kwenye internet zinatuma taarifa marekani,android,windows,iphone,blackbery os,wachina au warusi wanatumia hizo kitu,hawana os yao,hawawezi kuwakwepa wamarekani.
Snowden mwenyewe alisema,namnukuu" you can not hide from those guys,they have thirteen ways to hack on you,f.uck those guys"
As long tunatumia vifaa vya elekroniki,huwezi kujificha kwa wale jamaa. Kazi tunayo mkuu.seva zote za makampuni makubwa ulimwenguni yako kwao,yahoo,gugo,watsup,viber,facebook,firefox,bing,microsoft,sijui skype,nk. Imeshakula kwetu.
Naungana na wewe mkuu nimesema data encryption ili kutoa idea ya ujumbe hausafirishwi kama "plain text" ingawa naamini katika data encryption "algorithm" zinazotumika zinatofautiana ugumu wa kuigundua.Hapo ndipo knowkedge inahitajika.kaka program au application huwa ni 'predefined' inafanya kazi kama walivyoset kikitokea kipya ambacho haikijui haiwezi kwa hiyo encryption ya Blackbery ilikuwa nzuri kwa wakati ule watu wameisoma ili wajue jinsi ya kufungua wakafanikiwa.Ni kama antivirus unavyoshauriwa kuiupdate mara kwa mara lengo ni kama kuna virus wapya na waliotengenezaantivirus wamemjua utaweza kumkamata otherwise atakusumbua.Mkuu Aqua,
unachokisema ni kweli,kumbuka kile kinu cha nyuklia cha irani kilicholipuka miaka michache iliyopita?walituma virusi wabaya,wakaharibu system hadi wakafanikiwa kuwasha reactors,bahati nzuri kwa wairani main control computer ilikua disconnected vngnevyo yangekua majanga ya nyuklia kama ya chenobyl
Data encryption haisaidii kitu kaka,NSA waliweza kuhack sever za blackbery ambayo sisi tunaamin ina data encryption nzuri,wakadekropt..microsoft wana data encryption nzuri ila NSA wanaweza kuchota data kabla hazijafika kwenye seva za microsoft.
Kwa kweli kuwakwepa NSA unalazimika kutumia njia za jadi kaka,kuachana na enternet vngnevyo lazma wakupate.
Kuhack system ya mtu ni kosa kisheria ,sasa mimi naweza kuwa najua ila na mambo mengi ya kufanya maishani mwangu .Kwa nini nijiingize matatizoni bure?Pia mtu anapo hack system anasababu zake ,inawezekana sababu za kufanya hivyo bado watu hawajazipata.hv jaman napenda kuuliza je hapa kwetu kuna watu wa taaluma mbona sijawahi sikia hata siku moja mtu ame hack system fulani au sever ya company fulani wala hata ku develop software moja na sisi tukajivunia?