Internet is cheaper in Kenya than Tanzania averagely

Katika hili Wakenya mtuache tu.

BTW, hizi upload speed na download speed zinadanganya , its just theoretical speed based on a few Kilobytes ICDM pings to a certain server...
Real speed depend on many other factors, Watu walete screeshots za actual download speeds waki download files ndo tutajua kweli kama ni fast
 
Kwanini usianze wewe tukuone?
 
Kwanini usianze wewe tukuone?
Safaricom wamesema wamenipatia 20Mbps nitumie kwa wiki mbili kama offer, lakini ikija kwa actual download ina range between 9 - 11 Mbps niki download files kupitia download manager.



 
Umeiona hio tofauti ya theoretical na reality? mimi kule kwa speed test nikipima inafika 26Mbps, lakini kwa actual download ni only 11Mbps . Wewe kwa fast.com inafika 120Mbps lakini actual download inachezea 16Mbps ingaawaje yako bado iko fatster..

Anyway, wacha niendelee ku download, Huu mtandao lazima ni uangushe mimi ! watajuta kwanini wamenipatia unlimited internet!
 

Attachments

  • 1568042597253.png
    91.8 KB · Views: 15
@ Kafrican ..... umechelewa sana leo ndio unapata home fibre? Welcome to our world
 
@ Kafrican ..... umechelewa sana leo ndio unapata home fibre? Welcome to our world
Ihihihi , nilikua nikitumia "Internet TV Box" decoder/router ya safaricom, alafu nika hama nikaenda kwa Telkom kwasababu niliona wako cheaper, sasa nimeona HomeFiber iko sawa zaidi kwasababu ya hio unlimited bundles, mimi mara nyengine hua naweza ku download kama 100GB na weekend moja , hizi bundle za kununua eti sijui 20GB, 40GB zilikua zina nimalizia hela tu! nilikua nataka hio freedom ya ku download hadi nife! sasa nimeipata!
 
Wireless router ya safaricom ukinunua it's yours completely. Just buy mifi router ya Telkom,faiba or safcom na cables required and it's cheaper for instance hapa kuna ya safaricom. No cable required.
 
Wireless router ya safaricom ukinunua it's yours completely. Just buy mifi router ya Telkom,faiba or safcom na cables required and it's cheaper for instance hapa kuna ya safaricom. No cable required.View attachment 1202959
Ehh hata mimi wameniekea router (The fiber cable is connecetd to the router, then from there I connect my LAN cable). Nili assume hio Router ni property yao manake sikulipia extra fee yoyote mbali na hio hela ya kununua bundles...
 
Ehh hata mimi wameniekea router (The fiber cable is connecetd to the router, then from there I connect my LAN cable). Nili assume hio Router ni property yao manake sikulipia extra fee yoyote mbali na hio hela ya kununua bundles...
Maybe hio venye haukubuy ni Yao ,Mimi yangu nilinunua.
 
Depending on the speed and use, yes.
And who in their right mind uses $300 for home fiber??
$53 will get you 30Mbps from Zuku and I am able to stream Netflix in 4k, download 10TB a day if I want, use devices like Google Home and even check the security camera footage from my phone.
Which ISP in TZ can even support that??
In Kenya I can can count 20
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…