ni iregeshe..... niiregeshe.
Ndio nini?
Katika hili Wakenya mtuache tu.
Kwanini usianze wewe tukuone?BTW, hizi upload speed na download speed zinadanganya , its just theoretical speed based on a few Kilobytes ICDM pings to a certain server...
Real speed depend on many other factors, Watu walete screeshots za actual download speeds waki download files ndo tutajua kweli kama ni fast
He, haya ngoja kidogo nitafute basiKwanini usianze wewe tukuone?
Safaricom wamesema wamenipatia 20Mbps nitumie kwa wiki mbili kama offer, lakini ikija kwa actual download ina range between 9 - 11 Mbps niki download files kupitia download manager.Kwanini usianze wewe tukuone?
Sasa umeweka 11mbpsSafaricom wamesema wamenipatia 20Mbps nitumie kwa wiki mbili kama offer, lakini ikija kwa actual download ina range between 9 - 11 Mbps niki download files kupitia download manager.
View attachment 1202715
Umeiona hio tofauti ya theoretical na reality? mimi kule kwa speed test nikipima inafika 26Mbps, lakini kwa actual download ni only 11Mbps . Wewe kwa fast.com inafika 120Mbps lakini actual download inachezea 16Mbps ingaawaje yako bado iko fatster..
@ Kafrican ..... umechelewa sana leo ndio unapata home fibre? Welcome to our worldUmeiona hio tofauti ya theoretical na reality? mimi kule kwa speed test nikipima inafika 26Mbps, lakini kwa actual download ni only 11Mbps . Wewe kwa fast.com inafika 120Mbps lakini actual download inachezea 16Mbps ingaawaje yako bado iko fatster..
Anyway, wacha niendelee ku download, Huu mtandao lazima ni uangushe mimi ! watajuta kwanini wamenipatia unlimited internet!
Ihihihi , nilikua nikitumia "Internet TV Box" decoder/router ya safaricom, alafu nika hama nikaenda kwa Telkom kwasababu niliona wako cheaper, sasa nimeona HomeFiber iko sawa zaidi kwasababu ya hio unlimited bundles, mimi mara nyengine hua naweza ku download kama 100GB na weekend moja , hizi bundle za kununua eti sijui 20GB, 40GB zilikua zina nimalizia hela tu! nilikua nataka hio freedom ya ku download hadi nife! sasa nimeipata!@ Kafrican ..... umechelewa sana leo ndio unapata home fibre? Welcome to our world
Wireless router ya safaricom ukinunua it's yours completely. Just buy mifi router ya Telkom,faiba or safcom na cables required and it's cheaper for instance hapa kuna ya safaricom. No cable required.Hehe, Landlord amesema ataweka insfrustructure(pipes) na kila mtu kwa apartment atakua akitaka anapitisha hapo manake request ni nyingi... In the mean time aliruhusu wanieke kwasababu naishi 1st floor...
Installation cost zinagaramiwa na Safaricom. Lakini nathani hio router watakayo niwekea kwa nyumba itakua ni mali yao, niki hama au nikiacha kutumia naniseme sitaki tena nafikiri wataniambia niiregeshe .
Ehh hata mimi wameniekea router (The fiber cable is connecetd to the router, then from there I connect my LAN cable). Nili assume hio Router ni property yao manake sikulipia extra fee yoyote mbali na hio hela ya kununua bundles...Wireless router ya safaricom ukinunua it's yours completely. Just buy mifi router ya Telkom,faiba or safcom na cables required and it's cheaper for instance hapa kuna ya safaricom. No cable required.View attachment 1202959
Maybe hio venye haukubuy ni Yao ,Mimi yangu nilinunua.Ehh hata mimi wameniekea router (The fiber cable is connecetd to the router, then from there I connect my LAN cable). Nili assume hio Router ni property yao manake sikulipia extra fee yoyote mbali na hio hela ya kununua bundles...
Depending on the speed and use, yes.Since when fibre connection means unlimited?
And Unlimited means cheap?
If you subscribe unlimited service for $400 and another person subscribed the same service for $300 but different ISPs, will you say both of them have bought the same service for cheap price because it's unlimited for both?