Thanks mamiii.......vipi mozilla haifai ?.
Heshima kwenu wadau.
I hope mko okay kabisa. Well,nimetumia IDM kwa muda wa 30 days na zimeisha na wananitaka niweke SERIAL KEY naombeni msaada kwa hilo wandugu wa hili jukwaa pendwa la technology.
Natanguliza Shukran za dhati kwenu.
Thanks a lot.
nipe email yako nikutumie idm
nami naomba idm email yangu cmayolera@yahoo.comThanks a lot mkuu this is email address kiongozi taliaradhia@yahoo.com
Mungu abariki sana kazi ya mikono yako mkuu. Thanks again.
Huyo uliyemquote amemaliza mwaka mzima hajaingia jf unategemea akupe majibu?nami naomba idm email yangu cmayolera@yahoo.com
nitumie mkuu cmayolera@yahoo.comkama bado kuna mtu anahitaj na hajapata, DM me nikutumie