HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,704
- 48,140
Wacha weee
Wacha weee
Ha ...
hahahaaa!! mamii sidhani kama ntabebeka na kilo zangu hizi 100!! lols!
hahahahaaaa!! kazi mnayo kulaleki!
ngoja nimtafute mama bhoke nimng'ate midomo yake dadeki!
(bado sioni notifications on time....! hapa naote tu km mchawi! lols!)
kumbe 100 tu kam this wei nijaribu
Umeona eeh?!! ha! ha! ha! Nahisi dada alikuwa anaomba msaada kwa mpiga picha maana concentration kwenye tendo husika ni minus zero...jicho liko kwa mpiga picha. Kama vile anajaribu kusema "heeelp" lakini ndio sauti haitoki maskini:help:hahahaaa!! hawa wananyonyana damu ama vipi?
mbona huyu mwanamke hayuko serious na kazi kabisa??![]()
mshkaji naona kazama ulimini, lakini dem anaangalia kamera!! hahahaaaa!!
Hili ni tatizo mkuu na sio kwako tuu
Angalia using'ate ulimi sasa maana kama kiss ni kama hizo za Tyta hapo ni majanga
mamii unaweza kumbeba hasheem thabeet wewe?... mambo ya kuvunja nyonga watoto wa watu, mi siwezi!
hahahaaa!! nilisha m-french kiss mtoto wa watu, hahahaaaa!! nikaona ni majanga tupu..! nikapiga pause!!!
nika-assume ameridhika! nikakimbia zangu machimboni!
sisi tunalazimisha fani bana!!!
We utakiss vipi kama unakamua jipu?
![]()
hahahaaa!! nilisha m-french kiss mtoto wa watu, hahahaaaa!! nikaona ni majanga tupu..! nikapiga pause!!!
nika-assume ameridhika! nikakimbia zangu machimboni!