Inteligensia chanzo cha utajiri

Colence

Member
May 23, 2017
28
35
Salaaam wakuu,

Katika kukakaa muda mrefu nikinufaika na nondo za mabingwa wa kuzitumia akili zao katika kuzifikirisha na kuleta mada ambazo zinasaidia kubadilisha mitazamo ya jamii, na Mimi nimeamua kuitumia fursa ile tuliyokuwa tunaisoma kwenye vitabu vya civics kwamba katiba yetu inaruhusu na kuheshimu Uhuru wa mawazo na kuamua kuandika hiki kitu lengo ikiwa kukutanisha mawazo yangu na wataalam ili kupata mabadiliko hasa ya kiuchumi.

Nimekuwa nikivutiwa sana kuufatilia ulimwengu wa inteligesia katika muvi na makala mbali mbali ingawa sijafanikiwa kuushuhudia katika Maisha halisi lakini kwa nilichokigundua kwa haraka ni kwamba ulimwengu wa intelligensia ukiugeuza kwenye Maisha ya kawaida ya utaftaji unaweza kufanikiwa kimaisha,hii inatokana na sifa mbali mbali zilizopo kwenye huo ulimwengu kufanana na zile za uwekezaji kama vile

1. PLANING
Nikisema planning hapa tunaangalia jinsi ambavyo matukio katika ulimwengu wa intelligentsia hupangwa kwa weledi mkubwa huku zikiwekewa plan A,B huenda mpaka C ili tu kuhakikisha kilichopangwa kinatimia kitu ambacho hisia zangu zinaniongoza kusema hata kwenye biashara ukitumia mbinu kama hii unaweza toboa.

2. MATIMIZI SAHIHI YA FURSA
Nikisema matumizi ya fursa hili suala ni gumu kwa kiasi chake maana wengi wetu tunazigundua fursa wakati kumeshakucha, pia huwa tunashindwa kuelewa kuwa tatzo pia ni fursa ,sasa kwa hawa jamaa wana ule mtindo wa kumuacha mtu awafanyie chochote hata kama kitawaathiri alaf ndani ya hicho kitu wao wanaibua fursa eg. wanaweza kuona kuna siri aiepukiki kuvuja kuhusu wao sasa na wao wanaicha ivuje tu alaf wao wanakaa mezani wanakwambia kitendo cha hyo siri kuvuja either imewapromote, au imemfanya adui awe na maadui weng nk

3. TIME MANAGEMENT
Inasemekana watu wa kwenye huu ulimwengu wanaithamini sana kila sekunde na wanakuwa na ratba zinazowaongoza hapa unaona hata kwenye biashara matumizi sahii ya muda tunafahamu kabisa ni chanzo cha mafanikio

4. MATUMIZI YA ALTERNATIVE
Hapa ukiangalia kwenye huu ulimwengu huwa wanakuwa na matumizi ya altenaves (mibadala) ili tu kuhakikisha walichokipanga hakirudi nyuma the same kwenye biashara nahisi matumizi ya alternative huweza kumpeleka mtu kwenye mafanikio

5. HUMAN RESOURCES
Hapa sasa ndo unaona zile connection wakihitaji muuza machungwa anapatikana akihitaji wakufanya KTU x chap na wanajua hata matumizi sahihi ya watu wasio wanaiteligensia katika kufanikisha shughuli zao

6. USHAWISHI
Hapa hawa watu wa huu ulimwengu wako vizuri ndio maana wanaweza hata kujifanya walevi, vichaa nk ili tu kupata pa kuanzia kazi zao na wanafanikisha kitu ambacho kwenye biashara pia nahisi ni muhimu, mwalimu wangu wa o level aliwahi kutuambia tusipende kusema pesa zimepotea ndo maana makanisani madiaba huwa yanajaa na badala take tufahamu kuwa pesa ziko kwenye mifuko ya watu na inahitajika nguvu ya ushawishi tu kuzibadili kuwa zetu ndo maana kuna wengine wanaenda maeneo ya stendi wanapiga sarakasi nk na waanatoka na hela.

7.USIRI
Hii ndio sifa yao kubwa ambayo imefanya hata Mimi ninayeandika hapa naandika vtu vya kuadithiwa, kusoma na kungalia ktka muvi tu lakini huwezi amini inasemekana usiri wao ndio chanzo kikuu cha mafanikio yao yaani ukisema upambane nao unakuwa unapambana na kitu usichokiona so unaweza kujikuta umemdhuru mwano, mkeo, mmeo nk

Nimeandika hii yote kulinganga na hadhithi zinazosimulia, muvi na majarida mbali mbali inavojaribu kuuchambua ulimwengu huu na kuufanya kuwa ulimwengu wa kuvutia sana kiasi cha kila mtu kutamani kuwa RAIA wa ulimwengu hii,na baadhi ya sifa nilizotaja za ulimwengu huu sio kwamba watu hawajajaribu kuzitumia katika Maisha yao ya kawaida ya utaftaji wamejaribu sana lakini wamejikuta wanaishia kushindwa na nafikiri ni kwasababu ya kukosa mazoezi(practice) juu ya wanachokifanya, yaani hapa namaanisha unakuwa unajarbu kufanya KTU lakini haukifnyi kwa ufasaha maana haujawahi kukiishi . karibuni kwa michango pia nakubali kukosolewa
 
Yes! Mimi mwenyewe napenda sana movie za ki intelligent ambapo unakuta wafanya biashara wakubwa wa Makampuni wanavyopambana kuwa juu zaidi kwa njia mbalimbali.
Kuna kitu huwa kinatumika sana na haya makamouni ya mawasiliano wakiona mtu wa kampuni fulani ana ushawishi wanamnunua.
 
Kwenye usiri ndio penyewe hapo. Kila kitu lazima kiwekwe kwenye utaratibu wa faragha siyo kila kitu chako kinatakiwa kujulikana na kila mtu.

Umepata wazo la biashara kabla hujalitoa kwa watu lazima ujiridhishe huyo unayekwenda kumwambia atakuunga mkono au ataona wivu na badala akupe support anapelekea kukuvurugia?

Kwenye maisha ya uchumba na ndoa ni vizuri wanandoa kufichiana siri na madhaifu yenu. Kuna kitabu cha dini kinasema" ficha uchumba tangaza ndoa"

Umeahidiwa cheo au kwenda kusoma nje ya nchi kabla hujaondoka unatangaza ofisi nzima, mtaani unafanya sherehe, unakwenda kuaga mpaka kijijini kwenu. Siku ya kuondoka ndege inakuacha na safari inaishia hapo hapo, visingizio vinaanza kuwa vingi mpaka unakata tamaa, kisa ulimi wako.

"
 
No 1 : kila use macho kimoyomoyo au kwa sauti lazima kitatimia mimi lazima nitamiliki £2million kupitia national Royal lottery scratch card
 
Salaaam wakuu,

Katika kukakaa muda mrefu nikinufaika na nondo za mabingwa wa kuzitumia akili zao katika kuzifikirisha na kuleta mada ambazo zinasaidia kubadilisha mitazamo ya jamii, na Mimi nimeamua kuitumia fursa ile tuliyokuwa tunaisoma kwenye vitabu vya civics kwamba katiba yetu inaruhusu na kuheshimu Uhuru wa mawazo na kuamua kuandika hiki kitu lengo ikiwa kukutanisha mawazo yangu na wataalam ili kupata mabadiliko hasa ya kiuchumi.

Nimekuwa nikivutiwa sana kuufatilia ulimwengu wa inteligesia katika muvi na makala mbali mbali ingawa sijafanikiwa kuushuhudia katika Maisha halisi lakini kwa nilichokigundua kwa haraka ni kwamba ulimwengu wa intelligensia ukiugeuza kwenye Maisha ya kawaida ya utaftaji unaweza kufanikiwa kimaisha,hii inatokana na sifa mbali mbali zilizopo kwenye huo ulimwengu kufanana na zile za uwekezaji kama vile

1. PLANING
Nikisema planning hapa tunaangalia jinsi ambavyo matukio katika ulimwengu wa intelligentsia hupangwa kwa weledi mkubwa huku zikiwekewa plan A,B huenda mpaka C ili tu kuhakikisha kilichopangwa kinatimia kitu ambacho hisia zangu zinaniongoza kusema hata kwenye biashara ukitumia mbinu kama hii unaweza toboa.

2. MATIMIZI SAHIHI YA FURSA
Nikisema matumizi ya fursa hili suala ni gumu kwa kiasi chake maana wengi wetu tunazigundua fursa wakati kumeshakucha, pia huwa tunashindwa kuelewa kuwa tatzo pia ni fursa ,sasa kwa hawa jamaa wana ule mtindo wa kumuacha mtu awafanyie chochote hata kama kitawaathiri alaf ndani ya hicho kitu wao wanaibua fursa eg. wanaweza kuona kuna siri aiepukiki kuvuja kuhusu wao sasa na wao wanaicha ivuje tu alaf wao wanakaa mezani wanakwambia kitendo cha hyo siri kuvuja either imewapromote, au imemfanya adui awe na maadui weng nk

3. TIME MANAGEMENT
Inasemekana watu wa kwenye huu ulimwengu wanaithamini sana kila sekunde na wanakuwa na ratba zinazowaongoza hapa unaona hata kwenye biashara matumizi sahii ya muda tunafahamu kabisa ni chanzo cha mafanikio

4. MATUMIZI YA ALTERNATIVE
Hapa ukiangalia kwenye huu ulimwengu huwa wanakuwa na matumizi ya altenaves (mibadala) ili tu kuhakikisha walichokipanga hakirudi nyuma the same kwenye biashara nahisi matumizi ya alternative huweza kumpeleka mtu kwenye mafanikio

5. HUMAN RESOURCES
Hapa sasa ndo unaona zile connection wakihitaji muuza machungwa anapatikana akihitaji wakufanya KTU x chap na wanajua hata matumizi sahihi ya watu wasio wanaiteligensia katika kufanikisha shughuli zao

6. USHAWISHI
Hapa hawa watu wa huu ulimwengu wako vizuri ndio maana wanaweza hata kujifanya walevi, vichaa nk ili tu kupata pa kuanzia kazi zao na wanafanikisha kitu ambacho kwenye biashara pia nahisi ni muhimu, mwalimu wangu wa o level aliwahi kutuambia tusipende kusema pesa zimepotea ndo maana makanisani madiaba huwa yanajaa na badala take tufahamu kuwa pesa ziko kwenye mifuko ya watu na inahitajika nguvu ya ushawishi tu kuzibadili kuwa zetu ndo maana kuna wengine wanaenda maeneo ya stendi wanapiga sarakasi nk na waanatoka na hela.

7.USIRI
Hii ndio sifa yao kubwa ambayo imefanya hata Mimi ninayeandika hapa naandika vtu vya kuadithiwa, kusoma na kungalia ktka muvi tu lakini huwezi amini inasemekana usiri wao ndio chanzo kikuu cha mafanikio yao yaani ukisema upambane nao unakuwa unapambana na kitu usichokiona so unaweza kujikuta umemdhuru mwano, mkeo, mmeo nk

Nimeandika hii yote kulinganga na hadhithi zinazosimulia, muvi na majarida mbali mbali inavojaribu kuuchambua ulimwengu huu na kuufanya kuwa ulimwengu wa kuvutia sana kiasi cha kila mtu kutamani kuwa RAIA wa ulimwengu hii,na baadhi ya sifa nilizotaja za ulimwengu huu sio kwamba watu hawajajaribu kuzitumia katika Maisha yao ya kawaida ya utaftaji wamejaribu sana lakini wamejikuta wanaishia kushindwa na nafikiri ni kwasababu ya kukosa mazoezi(practice) juu ya wanachokifanya, yaani hapa namaanisha unakuwa unajarbu kufanya KTU lakini haukifnyi kwa ufasaha maana haujawahi kukiishi . karibuni kwa michango pia nakubali kukosolewa
Nimekusoma mwanzo mwisho sasa nakuomba chekecha machale yako afu unianike hapa unionavyo weka wazi hapa nikusome nikuamini
 
Kwenye ulimwengu wa biashara, kuna kitu pia wanakiita ujasusi wa kibiashara, ambapo pia hauko mbali sana na ujasusi wa aina nyingine kama ulivyoainisha katika mada.

Ili ufanikiwe katika biashara ni lazima ujifunze kuwa jasusi wa kibiashara na msingi wake tayari umeainisha..

Kingine pia cha kuongezea ni Persistence, ukiachana na uwezo walionao majasusi wa kada zote kama ulivyoainisha huwa wanakuwa na consistency ya jambo wanalofanya ambalo linaweza chukua ata miaka 10+ mpaka lifanikiwe,, kwenye ujasusi wa state mara nyingi wanaita assignment.. ukipewa assignment lazima uikamilishe, same na kwenye biashara ukianza jambo inabd ulikamilishe, ndipo utaona mafanikio.
 
Sehemu kubwa ya utajiri inatokana na fursa+BAHATI.
Salaaam wakuu,

Katika kukakaa muda mrefu nikinufaika na nondo za mabingwa wa kuzitumia akili zao katika kuzifikirisha na kuleta mada ambazo zinasaidia kubadilisha mitazamo ya jamii, na Mimi nimeamua kuitumia fursa ile tuliyokuwa tunaisoma kwenye vitabu vya civics kwamba katiba yetu inaruhusu na kuheshimu Uhuru wa mawazo na kuamua kuandika hiki kitu lengo ikiwa kukutanisha mawazo yangu na wataalam ili kupata mabadiliko hasa ya kiuchumi.

Nimekuwa nikivutiwa sana kuufatilia ulimwengu wa inteligesia katika muvi na makala mbali mbali ingawa sijafanikiwa kuushuhudia katika Maisha halisi lakini kwa nilichokigundua kwa haraka ni kwamba ulimwengu wa intelligensia ukiugeuza kwenye Maisha ya kawaida ya utaftaji unaweza kufanikiwa kimaisha,hii inatokana na sifa mbali mbali zilizopo kwenye huo ulimwengu kufanana na zile za uwekezaji kama vile

1. PLANING
Nikisema planning hapa tunaangalia jinsi ambavyo matukio katika ulimwengu wa intelligentsia hupangwa kwa weledi mkubwa huku zikiwekewa plan A,B huenda mpaka C ili tu kuhakikisha kilichopangwa kinatimia kitu ambacho hisia zangu zinaniongoza kusema hata kwenye biashara ukitumia mbinu kama hii unaweza toboa.

2. MATIMIZI SAHIHI YA FURSA
Nikisema matumizi ya fursa hili suala ni gumu kwa kiasi chake maana wengi wetu tunazigundua fursa wakati kumeshakucha, pia huwa tunashindwa kuelewa kuwa tatzo pia ni fursa ,sasa kwa hawa jamaa wana ule mtindo wa kumuacha mtu awafanyie chochote hata kama kitawaathiri alaf ndani ya hicho kitu wao wanaibua fursa eg. wanaweza kuona kuna siri aiepukiki kuvuja kuhusu wao sasa na wao wanaicha ivuje tu alaf wao wanakaa mezani wanakwambia kitendo cha hyo siri kuvuja either imewapromote, au imemfanya adui awe na maadui weng nk

3. TIME MANAGEMENT
Inasemekana watu wa kwenye huu ulimwengu wanaithamini sana kila sekunde na wanakuwa na ratba zinazowaongoza hapa unaona hata kwenye biashara matumizi sahii ya muda tunafahamu kabisa ni chanzo cha mafanikio

4. MATUMIZI YA ALTERNATIVE
Hapa ukiangalia kwenye huu ulimwengu huwa wanakuwa na matumizi ya altenaves (mibadala) ili tu kuhakikisha walichokipanga hakirudi nyuma the same kwenye biashara nahisi matumizi ya alternative huweza kumpeleka mtu kwenye mafanikio

5. HUMAN RESOURCES
Hapa sasa ndo unaona zile connection wakihitaji muuza machungwa anapatikana akihitaji wakufanya KTU x chap na wanajua hata matumizi sahihi ya watu wasio wanaiteligensia katika kufanikisha shughuli zao

6. USHAWISHI
Hapa hawa watu wa huu ulimwengu wako vizuri ndio maana wanaweza hata kujifanya walevi, vichaa nk ili tu kupata pa kuanzia kazi zao na wanafanikisha kitu ambacho kwenye biashara pia nahisi ni muhimu, mwalimu wangu wa o level aliwahi kutuambia tusipende kusema pesa zimepotea ndo maana makanisani madiaba huwa yanajaa na badala take tufahamu kuwa pesa ziko kwenye mifuko ya watu na inahitajika nguvu ya ushawishi tu kuzibadili kuwa zetu ndo maana kuna wengine wanaenda maeneo ya stendi wanapiga sarakasi nk na waanatoka na hela.

7.USIRI
Hii ndio sifa yao kubwa ambayo imefanya hata Mimi ninayeandika hapa naandika vtu vya kuadithiwa, kusoma na kungalia ktka muvi tu lakini huwezi amini inasemekana usiri wao ndio chanzo kikuu cha mafanikio yao yaani ukisema upambane nao unakuwa unapambana na kitu usichokiona so unaweza kujikuta umemdhuru mwano, mkeo, mmeo nk

Nimeandika hii yote kulinganga na hadhithi zinazosimulia, muvi na majarida mbali mbali inavojaribu kuuchambua ulimwengu huu na kuufanya kuwa ulimwengu wa kuvutia sana kiasi cha kila mtu kutamani kuwa RAIA wa ulimwengu hii,na baadhi ya sifa nilizotaja za ulimwengu huu sio kwamba watu hawajajaribu kuzitumia katika Maisha yao ya kawaida ya utaftaji wamejaribu sana lakini wamejikuta wanaishia kushindwa na nafikiri ni kwasababu ya kukosa mazoezi(practice) juu ya wanachokifanya, yaani hapa namaanisha unakuwa unajarbu kufanya KTU lakini haukifnyi kwa ufasaha maana haujawahi kukiishi . karibuni kwa michango pia nakubali kukosolewa
 
Salaaam wakuu,

Katika kukakaa muda mrefu nikinufaika na nondo za mabingwa wa kuzitumia akili zao katika kuzifikirisha na kuleta mada ambazo zinasaidia kubadilisha mitazamo ya jamii, na Mimi nimeamua kuitumia fursa ile tuliyokuwa tunaisoma kwenye vitabu vya civics kwamba katiba yetu inaruhusu na kuheshimu Uhuru wa mawazo na kuamua kuandika hiki kitu lengo ikiwa kukutanisha mawazo yangu na wataalam ili kupata mabadiliko hasa ya kiuchumi.

Nimekuwa nikivutiwa sana kuufatilia ulimwengu wa inteligesia katika muvi na makala mbali mbali ingawa sijafanikiwa kuushuhudia katika Maisha halisi lakini kwa nilichokigundua kwa haraka ni kwamba ulimwengu wa intelligensia ukiugeuza kwenye Maisha ya kawaida ya utaftaji unaweza kufanikiwa kimaisha,hii inatokana na sifa mbali mbali zilizopo kwenye huo ulimwengu kufanana na zile za uwekezaji kama vile

1. PLANING
Nikisema planning hapa tunaangalia jinsi ambavyo matukio katika ulimwengu wa intelligentsia hupangwa kwa weledi mkubwa huku zikiwekewa plan A,B huenda mpaka C ili tu kuhakikisha kilichopangwa kinatimia kitu ambacho hisia zangu zinaniongoza kusema hata kwenye biashara ukitumia mbinu kama hii unaweza toboa.

2. MATIMIZI SAHIHI YA FURSA
Nikisema matumizi ya fursa hili suala ni gumu kwa kiasi chake maana wengi wetu tunazigundua fursa wakati kumeshakucha, pia huwa tunashindwa kuelewa kuwa tatzo pia ni fursa ,sasa kwa hawa jamaa wana ule mtindo wa kumuacha mtu awafanyie chochote hata kama kitawaathiri alaf ndani ya hicho kitu wao wanaibua fursa eg. wanaweza kuona kuna siri aiepukiki kuvuja kuhusu wao sasa na wao wanaicha ivuje tu alaf wao wanakaa mezani wanakwambia kitendo cha hyo siri kuvuja either imewapromote, au imemfanya adui awe na maadui weng nk

3. TIME MANAGEMENT
Inasemekana watu wa kwenye huu ulimwengu wanaithamini sana kila sekunde na wanakuwa na ratba zinazowaongoza hapa unaona hata kwenye biashara matumizi sahii ya muda tunafahamu kabisa ni chanzo cha mafanikio

4. MATUMIZI YA ALTERNATIVE
Hapa ukiangalia kwenye huu ulimwengu huwa wanakuwa na matumizi ya altenaves (mibadala) ili tu kuhakikisha walichokipanga hakirudi nyuma the same kwenye biashara nahisi matumizi ya alternative huweza kumpeleka mtu kwenye mafanikio

5. HUMAN RESOURCES
Hapa sasa ndo unaona zile connection wakihitaji muuza machungwa anapatikana akihitaji wakufanya KTU x chap na wanajua hata matumizi sahihi ya watu wasio wanaiteligensia katika kufanikisha shughuli zao

6. USHAWISHI
Hapa hawa watu wa huu ulimwengu wako vizuri ndio maana wanaweza hata kujifanya walevi, vichaa nk ili tu kupata pa kuanzia kazi zao na wanafanikisha kitu ambacho kwenye biashara pia nahisi ni muhimu, mwalimu wangu wa o level aliwahi kutuambia tusipende kusema pesa zimepotea ndo maana makanisani madiaba huwa yanajaa na badala take tufahamu kuwa pesa ziko kwenye mifuko ya watu na inahitajika nguvu ya ushawishi tu kuzibadili kuwa zetu ndo maana kuna wengine wanaenda maeneo ya stendi wanapiga sarakasi nk na waanatoka na hela.

7.USIRI
Hii ndio sifa yao kubwa ambayo imefanya hata Mimi ninayeandika hapa naandika vtu vya kuadithiwa, kusoma na kungalia ktka muvi tu lakini huwezi amini inasemekana usiri wao ndio chanzo kikuu cha mafanikio yao yaani ukisema upambane nao unakuwa unapambana na kitu usichokiona so unaweza kujikuta umemdhuru mwano, mkeo, mmeo nk

Nimeandika hii yote kulinganga na hadhithi zinazosimulia, muvi na majarida mbali mbali inavojaribu kuuchambua ulimwengu huu na kuufanya kuwa ulimwengu wa kuvutia sana kiasi cha kila mtu kutamani kuwa RAIA wa ulimwengu hii,na baadhi ya sifa nilizotaja za ulimwengu huu sio kwamba watu hawajajaribu kuzitumia katika Maisha yao ya kawaida ya utaftaji wamejaribu sana lakini wamejikuta wanaishia kushindwa na nafikiri ni kwasababu ya kukosa mazoezi(practice) juu ya wanachokifanya, yaani hapa namaanisha unakuwa unajarbu kufanya KTU lakini haukifnyi kwa ufasaha maana haujawahi kukiishi . karibuni kwa michango pia nakubali kukosolewa
Hii shughuli ya intelligence ni ya Siri lkn ni ya muhimu kwa mashirika makubwa ya biashara ili kuendelea ku survive.. wanaita 'Corporate Espionage'.

Ni kupitia njia hii shirika moja linapata kujua nini kinapangwa na washindani wake wa karibu, ili kuweza kuchukua tahadhari muhimu mapema
 
Back
Top Bottom