Wakuu, natumia android phone [TECNO PHANTOM SERIES], nimekuwa nikijaribu ku download some apps kutoka playstore lakini napata ujumbe kuwa "there is insufficient space on the device" wakati hapo mwanzo nilikuwa na download bila shida.
Wakuu nimejaribu kufuta vitu vingi nilivyo download awali lakini tatizo lipo palepale, naomba msaada nini cha kufanya.
Na je nawezaje kupata paid apps for free?
Wakuu nimejaribu kufuta vitu vingi nilivyo download awali lakini tatizo lipo palepale, naomba msaada nini cha kufanya.
Na je nawezaje kupata paid apps for free?