SD nimenunua na tatizo la picha limekuja baada ya kuweka hii sd card. Acha nijaribu na file manager kama ulivyoshauri mkuujaribu kutumia file manager kama es file explorer sometime built in inazingua kuinstall apk
hio sd imetoka wapi? na hizo pic mwanzo zilikuwa na quality nzuri?
angalia pia quality ya hio sd card na resolution ya video/picha.SD nimenunua na tatizo la picha limekuja baada ya kuweka hii sd card. Acha nijaribu na file manager kama ulivyoshauri mkuu
Shida sio mega pixels maana hata picha ninazodownload zinaaribika. Alafu issue ya installation bado inakataa hata nilipotumia super file manager. Nikiverify kwa package installer ndio inaniambia there is a problem of parsing file na nikitumia avast haziendelei kabisa.angalia pia quality ya hio sd card na resolution ya video/picha.
camera yako ni megapixel ngapi? au mpaka video za kudownload zinapungua quality
Unatumia simu gani?? Weka apps sawa na android version yako mkuu..pia hakikisha hizo apps zmekua full. Yani hakukua na incompleteness katika utumaji wakoNaombaeni msaada wakuu. Nikitaka kuistall apps nilizotumiwa kwa cm transfer zinaniambia there was a problem of parsing this file kama sijakosea. Naombeni mnisaidie maana Nina files nyingi sana ambazo zipo pending.
Shida ya pili ni kuwa nikiweka SD card ubora wa picha na video unapungua sana au kushindwa kabisa kufunguka au kuplay.
Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Asanteni
Naona tatizo litakuwa hapo kwenye compatibility issues.Mara nyingi "Error while parsing the package" inatokana na compatibility issues (Version ya Android inakuwa haiendani na requirements za installation,mf. app yenye installation support kuanzia Android 5.1, itaonyesha error hii ukiinstall kwenyr version ya Android 4.4 kurudi chini)
Pia, inawezekana application package yako (.apk file) ikawa corrupted.