isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,125
- 6,250
Instagram imeongeza muda wa Stories kutoka sekunde 30 na sasa kufikia 60. Kwa sasa watumiaji wa iOS ndio wanaweza kutumia kipengele hiki cha sekunde 60 na hivi karibuni kuwafikia Android.
Yeah! Idadi ya watu wengi wanadai haina sababu ya stories kuwa 60 secs.Hapo muda mwingine zitakuwa zinachosha.
Bora wangebaki na hizo sec 30
Nadhani hili ni suala la undeshaji na nini JamiiForums imejikita au inalenga. Maybe Maxence Melo inaweza kuwa na mipango ya mambo mengi zaidi.Hivi sisi Jamii forum hamna kinachoongezwa kwenye app cha kuleta manufaa.Kila mwaka iko hivi hivo local tu tech inaenda kasi badilikeni.Ku upload video jf kitu kidogo bado ni kipengele.