Instagram imenikutanisha na binti mrembo sana

Instagram imenikutanisha na binti mrembo sana

Huko instagramun kuna warembo sana nimekutana na mmbongo anaishi Australia aiseeee mtoto wa kike mrembo sana ndio nafait kumweka sawa mwez wa9 atakuja bongo nasubir tu aje
 
Huko instagramun kuna warembo sana nimekutana na mmbongo anaishi Australia aiseeee mtoto wa kike mrembo sana ndio nafait kumweka sawa mwez wa9 atakuja bongo nasubir tu aje
[emoji15] [emoji15] [emoji15] what next
 
Huko instagramun kuna warembo sana nimekutana na mmbongo anaishi Australia aiseeee mtoto wa kike mrembo sana ndio nafait kumweka sawa mwez wa9 atakuja bongo nasubir tu aje
Kila la heri mkuu na nakupongeza sana kwa hatua uliyopiga. Sasa huyo wa Australia atakuja na tu dollar kidogo. Mtengenezee mazingira umchune kidogo pia pesa ya kula mishkaki sio mbaya, wanatoaga.
 
yan ndo kwnza ata haumjaonana daaah kazi kweli hiki kizazi, naona huu ni mtongozo wa mwendokasi, mpk unaanzisha thread humu unamsifia et mrembo mkali sana wkt ata hauja muona live, be care mr. mushi
 
mwanaume mmoja alimpenda sana DAISY did everything for her lakini he ended up dead because of her na akaishia kuishi na mwanaume mwingine........F.SCOT FITSGERALD "the great gatsby" 1922 ni kitabu

Well explained, old sport.
 
...teh hee hee..yani we mangi sijui ni balehe changa au ndo umeruka stage kama lemutuz!
...na yule wa JF iliishiaga wapi hivi
 
yan ndo kwnza ata haumjaonana daaah kazi kweli hiki kizazi, naona huu ni mtongozo wa mwendokasi, mpk unaanzisha thread humu unamsifia et mrembo mkali sana wkt ata hauja muona live, be care mr. mushi
Bora umwambie wewe
 
mwanaume mmoja alimpenda sana DAISY did everything for her lakini he ended up dead because of her na akaishia kuishi na mwanaume mwingine........F.SCOT FITSGERALD "the great gatsby" 1922 ni kitabu
Pia ipo movie yake imeigizwa na Leornado di..
 
...teh hee hee..yani we mangi sijui ni balehe changa au ndo umeruka stage kama lemutuz!
...na yule wa JF iliishiaga wapi hivi
Aaah yule bado yupo mkuu.. sasa unajua wanaume tupo mawindoni mda mwingi. Kwa hiyo ametokea huyu kampiku yule. so yule sasa tunampotezea. wachumi wanasema unapo move kwenye higher indifference curve ndo satisfaction inaongezeka. Upo hapo ndugu?
 
Back
Top Bottom