moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,900
- 4,865
Wanajamvi,
Leo muda huu kwenye bus la ruti ya Kitunda- Kivukoni kumetokea na tukio ambalo ni la kawaida ila kwa namna ya lilivyokua handled ni very un professional.
Ni kweli dereva ana makosa kwa kushusha abiria sehemu ambayo sio ya kituo hapa kwenye ujenzi wa flyover VETA.
Na baadae Insp wa polisi wa hapa aliyekua inchaji leo MJ ELIAS kumwambia aweke gari pembeni kwa ajili ya kuandikiwa.
Dereva alitii amri na kuweka bus pembeni likiwa na raia wengi.
Dereva aliombwa leseni na akajibu leseni Ameisahau.
Tukio lisilokuwa la kawaida na kinyume cha matarajio ya wengi na kinyume haki za binadamu inspector huyu wa polisi alianza kumpiga makofi usoni dereva na kumfosi dereva kukaa chini.
Kama hiyo haitoshi,WP 6052 aliyekuwepo hapo karibu nae alianza kujibu kwa dharau na kebehi kwa raia waliokua wameshuka kwenye bus ili kuomba warudishiwe nauli wamalize safari kutoka hapo VETA kwenda kivukoni au dereva ataje namba za leseni ili polisi waweze kuingiza kwenye mashine zao ili waandike faini.
WP 6052 alijibu umati kwa kebehi akisema " ole wenu mtu apogee hapa nilipo"
Pasi kuangalia ni umri gani anaowajibu .
Raia walipotaka kujua kwa nini wasisikilzwe WP huyu aliwajibu kwa kufoka "Acheni kelele"
Ni wito wangu kwa Askari kuwa wasikivu na kusaidia kutatua tatizo na si kukomoa makumi ya watu wanaoenda kujenga taifa asubuhi hii.
Hata kama dereva ana makosa,dereva hana leseni ,dereva kafanya kosa hayo yote sio makosa ya abiria na ilipaswa Askari wa hapo veta muwe nambari moja kutafuta solution ya abiria kuwahi kwanza na nyie kubaki na wahusika wenu.
Msivunje sheria kwa kumpiga dereva mbele ya abiria hata kama amekosa. (PRESUMPTION OF INNOCENCE).
Insp MJ ELIAS na WP 6052 jirekebisheni.
Leo muda huu kwenye bus la ruti ya Kitunda- Kivukoni kumetokea na tukio ambalo ni la kawaida ila kwa namna ya lilivyokua handled ni very un professional.
Ni kweli dereva ana makosa kwa kushusha abiria sehemu ambayo sio ya kituo hapa kwenye ujenzi wa flyover VETA.
Na baadae Insp wa polisi wa hapa aliyekua inchaji leo MJ ELIAS kumwambia aweke gari pembeni kwa ajili ya kuandikiwa.
Dereva alitii amri na kuweka bus pembeni likiwa na raia wengi.
Dereva aliombwa leseni na akajibu leseni Ameisahau.
Tukio lisilokuwa la kawaida na kinyume cha matarajio ya wengi na kinyume haki za binadamu inspector huyu wa polisi alianza kumpiga makofi usoni dereva na kumfosi dereva kukaa chini.
Kama hiyo haitoshi,WP 6052 aliyekuwepo hapo karibu nae alianza kujibu kwa dharau na kebehi kwa raia waliokua wameshuka kwenye bus ili kuomba warudishiwe nauli wamalize safari kutoka hapo VETA kwenda kivukoni au dereva ataje namba za leseni ili polisi waweze kuingiza kwenye mashine zao ili waandike faini.
WP 6052 alijibu umati kwa kebehi akisema " ole wenu mtu apogee hapa nilipo"
Pasi kuangalia ni umri gani anaowajibu .
Raia walipotaka kujua kwa nini wasisikilzwe WP huyu aliwajibu kwa kufoka "Acheni kelele"
Ni wito wangu kwa Askari kuwa wasikivu na kusaidia kutatua tatizo na si kukomoa makumi ya watu wanaoenda kujenga taifa asubuhi hii.
Hata kama dereva ana makosa,dereva hana leseni ,dereva kafanya kosa hayo yote sio makosa ya abiria na ilipaswa Askari wa hapo veta muwe nambari moja kutafuta solution ya abiria kuwahi kwanza na nyie kubaki na wahusika wenu.
Msivunje sheria kwa kumpiga dereva mbele ya abiria hata kama amekosa. (PRESUMPTION OF INNOCENCE).
Insp MJ ELIAS na WP 6052 jirekebisheni.
Ova.