The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,191
- 13,616
Aiseee chalii sasa umeandika nini? Ndio kashalipwa. Haya faster Nenda na wewe ulipwe B7Mdogo wangu Chahali acha jazba kabla ya kujenga hoja.Hata wewe ukiwa Rais hakuna jinsi ndugu zako na rafiki zako wakatosheleza kuwa wasaidizi wako.Hakuna mapambano bila changamoto,ukisoma hoja ya Ndugu Mwanakijiji kwa makini utaelewa,rudia kusoma.Hivi Ile hela uliyoahidiwa na Kinana ulishalipwa?
Sent using Jamii Forums mobile app