Bora jasusi letu katurudishia dukaYule beki msouth kaitajika kwao haraka
Duka au uwezo,duka halafu mnamrudisha!?Bora jasusi letu katurudishia duka
Duka la yangaDuka au uwezo,duka halafu mnamrudisha!?
Alipoondoka mmeifunga yanga mara ngapi?Duka la yanga
Alipoondoka mmeifunga yanga mara ngapi?
Umenena kaka.Kwasasa hatutaki stori za simba na yanga . tupo busy kufanya kazi
Nakuona Mzee muogo kwenye ubora wakoMASHABIKI WA HIZI TIMU NI MATAHIRA SANA DADA.
MIMI NILIAMUA KUWAACHA.
ASANTE KAMA WENYE AKILI NZURI KAMA WEWE MPO.
Wewe nawe huelewi! Anayeita Duka ni shabiki wa Yanga huyo! Hivyo anafurahi duka limerudishwa ili ajipatie magoli!Alipoondoka mmeifunga yanga mara ngapi?
Upo busy wapi, mbona D9 mmechemka! Wacha hizo mkuu, Yanga na Simba hazikwepeki!Kwasasa hatutaki stori za simba na yanga . tupo busy kufanya kazi