mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 1,413
- 5,150
Wew si ndie ulikuwa waziri wa mambo ya ndani, uliekua na dhamana juu ya ulinzi wa wananchi na utendaji kazi wa vyombo vya usalama nchini??
Sasa najua unajua mengi kuliko MTanganyika yeyote yule juu ya yaliyotukia 29 October !!
Hivyo basi kujua kwako mengi kumekuweka katika hatari kubwa .Na kuondolewa kwako katika wizara uliyoiongoza kutekeleza unyama ule dhidi ya waTanganyika ni taa nyekundu..
Kumbuka anguko la muovu ni furaha kwa wanyonge pasipokujali kama Anguko lake limetekelezwa na waovu wenzake..!!
Sasa najua unajua mengi kuliko MTanganyika yeyote yule juu ya yaliyotukia 29 October !!
Hivyo basi kujua kwako mengi kumekuweka katika hatari kubwa .Na kuondolewa kwako katika wizara uliyoiongoza kutekeleza unyama ule dhidi ya waTanganyika ni taa nyekundu..
Kumbuka anguko la muovu ni furaha kwa wanyonge pasipokujali kama Anguko lake limetekelezwa na waovu wenzake..!!