Salaam, Shalom!
Kama ikivyotabiriwa tangu msimu mpya ulivyoanza 2021-2030, kwamba injili ya ufalme itahubiriwa duniani kote.
Mwanzo injili hii ilihubiriwa tokea Israel kwenda ulaya, ikasambaa Dunia nzima,
Sasa wakati wa mwisho umewadia, na kabla ya unyakuo, ni lazima kanisa la Mungu likisanywe,
Na kanisa la Mungu linakusanywa Katika mazingira magumu mno, Hali mbaya ya kiuchumi, majengo ya kanisa yakizuiwa kutumika kwa ibada, watakatifu wakiuwawa, uchumi ngummu nk nk.
Na injili hii SI injili Ile ya kuhubiri material things kwamba njoo utajirike hapana,
Injili hii ni ya kuwaita watu waache DHAMBI, waambie DHAMBI ni Nini, waziache nna kuzitumua, wanaambiwa kuzifua nguo zao Katika damu ya Mwanakondoo Yesu Kristo.
Injili hiii inahubiriwa kuliandaa kanisa kwa ajili ya unyakuo ambao umewadia.
Ukipuuza injili hii, na ikatokea unyakuo imetokea na wewe hukunyakuliwa inakuja dhiki kuu mno ambayo hutaweza istahimili.
Ikiwa ungependa kuzifua nguo zako Katika damu ya Mwanakondoo Yesu Kristo fuatisha sala hii,
EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINA KUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, ULEVI USINISHINDE, UZINZI USINISHINDE, UCHAWI USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMIN
Kama ikivyotabiriwa tangu msimu mpya ulivyoanza 2021-2030, kwamba injili ya ufalme itahubiriwa duniani kote.
Mwanzo injili hii ilihubiriwa tokea Israel kwenda ulaya, ikasambaa Dunia nzima,
Sasa wakati wa mwisho umewadia, na kabla ya unyakuo, ni lazima kanisa la Mungu likisanywe,
Na kanisa la Mungu linakusanywa Katika mazingira magumu mno, Hali mbaya ya kiuchumi, majengo ya kanisa yakizuiwa kutumika kwa ibada, watakatifu wakiuwawa, uchumi ngummu nk nk.
Na injili hii SI injili Ile ya kuhubiri material things kwamba njoo utajirike hapana,
Injili hii ni ya kuwaita watu waache DHAMBI, waambie DHAMBI ni Nini, waziache nna kuzitumua, wanaambiwa kuzifua nguo zao Katika damu ya Mwanakondoo Yesu Kristo.
Injili hiii inahubiriwa kuliandaa kanisa kwa ajili ya unyakuo ambao umewadia.
Ukipuuza injili hii, na ikatokea unyakuo imetokea na wewe hukunyakuliwa inakuja dhiki kuu mno ambayo hutaweza istahimili.
Ikiwa ungependa kuzifua nguo zako Katika damu ya Mwanakondoo Yesu Kristo fuatisha sala hii,
EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINA KUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, ULEVI USINISHINDE, UZINZI USINISHINDE, UCHAWI USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMIN