technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,680
- 58,672
- Thread starter
-
- #41
Nchi Ina Hali mbaya Sana kiutendaji Kama Kila mtu angekuwa na uwezo wa kuona kinachoendelea ndani Basi watu wangegawana fito ni huzuni SanaHili ni jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama kutusaidia kwa sababu kwa hali ilivyo, huyu mama siyo wa kuondoka mwenyewe japo amefeli kila kitu. li isionekana ni mapinduzi ya kijeshi, walimlie timing wakati wa kuchagua mgombea wa CCM wamwondoe kwa nguvu bila kushirikisha wajumbe wa mkutano. Waandae ripoti inayoonyesha madhambi yake yote na kuiwasilisha kwenye kamati ya kuteua mgombea wakati wa uteuzi. Wakati huo huo, yeye na wafuasi wake (ambao siyo wengi) wawekwe chini ya ulinzi mpaka mkutano utakamaliza kufanya uteuzi.
Akishanukuliwa na gazeti la Uhuru kwamba HatogombeaNashauri Rais wetu mpendwa angepumzika by 2025 baada ya kumaliza utawala wa mpito aje Rais mwengine by 2025/2030.
Kulingana na ukweli kwamba Rais wetu ametoka katika jamii zinazokumbatia Sana mfumo dume hivyo amekuwa akisaidiwa na mawazo ya watu wengine ambao hasa ni wanaume hivyo kuonekana maamuzi mengi anayoyafanya yakiwa hasi analaumiwa yeye.
Urais ni taasisi kweli lakini Rais unatakiwa kuwa na maono yako binafsi mpaka sasa niseme ukweli sijaona falsafa yeyote mpya kutoka kwa Rais wetu zaidi ya kuona mchanganyiko wa utawala wa Kikwete na Magufuli ambao kifalsafa wote walikuwa na utofauti mkubwa.
Sizani Kama ni sahihi kuchukua falsafa za Magufuli na Kikwete kuzichanganya maana falsafa zao zinakinzana pakubwa na haziwezi kukaa katika chungu kimoja.
Unaruhusu Uhuru wa vyombo vya habari na uchaguzi huru uku bado hauna interijensia ya kukamata watekaji na wauaji wa Watanzania wenzetu?
Tanzania tulipofikia tunatakiwa kuwa na Rais ambaye ni game changer ambaye atakuja na falsafa zake zisizofungamana na upande wowote wa Rais asiye madarakani.
Rais ambaye anatengeneza makundi hawezi kufanyakazi na watu wanaomkosoa hatufai.
Rais ambaye bado haonekani kuleta suluhu ya kuwepo kwa katiba na uchaguzi huru na haki.
Nchi Haina future juu ya mambo mengi ya kitaifa Rais Bora ni yule mwenye falsafa inayoeleweka na watu wake.
Hivyo nashauri angepumzika mwakani atakuwa Rais mwenye heshima kubwa Sana kwenye Taifa letu.
Nimesoma paragraph 10 ulizoandika. Kwanza tambua, uongozi wa nchi yetu ni endless process; hawezi ingia Rais mpya akaja na mambo yote mapya. Nchi hii ina dira kutoka kwa waasisi ila kila zama inaboreshwa.Nashauri Rais wetu mpendwa angepumzika by 2025 baada ya kumaliza utawala wa mpito aje Rais mwengine by 2025/2030.
Kulingana na ukweli kwamba Rais wetu ametoka katika jamii zinazokumbatia Sana mfumo dume hivyo amekuwa akisaidiwa na mawazo ya watu wengine ambao hasa ni wanaume hivyo kuonekana maamuzi mengi anayoyafanya yakiwa hasi analaumiwa yeye.
Urais ni taasisi kweli lakini Rais unatakiwa kuwa na maono yako binafsi mpaka sasa niseme ukweli sijaona falsafa yeyote mpya kutoka kwa Rais wetu zaidi ya kuona mchanganyiko wa utawala wa Kikwete na Magufuli ambao kifalsafa wote walikuwa na utofauti mkubwa.
Sizani Kama ni sahihi kuchukua falsafa za Magufuli na Kikwete kuzichanganya maana falsafa zao zinakinzana pakubwa na haziwezi kukaa katika chungu kimoja.
Unaruhusu Uhuru wa vyombo vya habari na uchaguzi huru uku bado hauna interijensia ya kukamata watekaji na wauaji wa Watanzania wenzetu?
Tanzania tulipofikia tunatakiwa kuwa na Rais ambaye ni game changer ambaye atakuja na falsafa zake zisizofungamana na upande wowote wa Rais asiye madarakani.
Rais ambaye anatengeneza makundi hawezi kufanyakazi na watu wanaomkosoa hatufai.
Rais ambaye bado haonekani kuleta suluhu ya kuwepo kwa katiba na uchaguzi huru na haki.
Nchi Haina future juu ya mambo mengi ya kitaifa Rais Bora ni yule mwenye falsafa inayoeleweka na watu wake.
Hivyo nashauri angepumzika mwakani atakuwa Rais mwenye heshima kubwa Sana kwenye Taifa letu.
Mwakani ana kuja na falsafa yake maana hii imetokea tu emergence, huhusu kuachia ngazi hiyo sahau brotherNashauri Rais wetu mpendwa angepumzika by 2025 baada ya kumaliza utawala wa mpito aje Rais mwengine by 2025/2030.
Kulingana na ukweli kwamba Rais wetu ametoka katika jamii zinazokumbatia Sana mfumo dume hivyo amekuwa akisaidiwa na mawazo ya watu wengine ambao hasa ni wanaume hivyo kuonekana maamuzi mengi anayoyafanya yakiwa hasi analaumiwa yeye.
Urais ni taasisi kweli lakini Rais unatakiwa kuwa na maono yako binafsi mpaka sasa niseme ukweli sijaona falsafa yeyote mpya kutoka kwa Rais wetu zaidi ya kuona mchanganyiko wa utawala wa Kikwete na Magufuli ambao kifalsafa wote walikuwa na utofauti mkubwa.
Sizani Kama ni sahihi kuchukua falsafa za Magufuli na Kikwete kuzichanganya maana falsafa zao zinakinzana pakubwa na haziwezi kukaa katika chungu kimoja.
Unaruhusu Uhuru wa vyombo vya habari na uchaguzi huru uku bado hauna interijensia ya kukamata watekaji na wauaji wa Watanzania wenzetu?
Tanzania tulipofikia tunatakiwa kuwa na Rais ambaye ni game changer ambaye atakuja na falsafa zake zisizofungamana na upande wowote wa Rais asiye madarakani.
Rais ambaye anatengeneza makundi hawezi kufanyakazi na watu wanaomkosoa hatufai.
Rais ambaye bado haonekani kuleta suluhu ya kuwepo kwa katiba na uchaguzi huru na haki.
Nchi Haina future juu ya mambo mengi ya kitaifa Rais Bora ni yule mwenye falsafa inayoeleweka na watu wake.
Hivyo nashauri angepumzika mwakani atakuwa Rais mwenye heshima kubwa Sana kwenye Taifa letu.
Binafsi ningependa mama yetu apumzike 2025,Tunahitaji Rais ambaye ni mzalendo,mwenye uchungu na Taifa hili,mwenye kuweza kulinda rasilimali za Taifa kwa manufaa ya kizazi hiki na kizazi kijacho,Rasilimali za Taifa zinufaishe wananchi kuliko wageni kama ilivyoelezwa katika katiba ya yetu,kwamba Rasilimali za Taifa zitumike kuondoa umaskini katika jamii siyo kupewa wageni kwa maslahi ya viongozi..Imeniacha kwenye mataa, codes bado hazijafunguka
Tatizo liko hasa kwa wanao msaidia ndiwo wanaahirisha kufkirii kizalendo a.k.a kujizima data, pamoja na jamii ya bira liende yaani kanyaga twende kupokea fikra chanya na hasi bila uwezo wa kuzichakataBinafsi ningependa mama yetu apumzike 2025,Tunahitaji Rais ambaye ni mzalendo,mwenye uchungu na Taifa hili,mwenye kuweza kulinda rasilimali za Taifa kwa manufaa ya kizazi hiki na kizazi kijacho,Rasilimali za Taifa zinufaishe wananchi kuliko wageni kama ilivyoelezwa katika katiba ya yetu,kwamba Rasilimali za Taifa zitumike kuondoa umaskini katika jamii siyo kupewa wageni kwa maslahi ya viongozi..
siamini kuwa march 17 ulikuwa ni mpango wa Mungu. Siamin kuwa Mungu alimuondoa yule ili alete huyu, kuna mkono wa mtuDamu za akina Soka na Mzee Ally Kibao haziwezi kumuacha salama, Mungu ataamua huu ugomvi kama alivyofanya March 17 2021.
Nani aje badala yake ??!Nashauri Rais wetu mpendwa angepumzika by 2025 baada ya kumaliza utawala wa mpito aje Rais mwengine by 2025/2030.
Kulingana na ukweli kwamba Rais wetu ametoka katika jamii zinazokumbatia Sana mfumo dume hivyo amekuwa akisaidiwa na mawazo ya watu wengine ambao hasa ni wanaume hivyo kuonekana maamuzi mengi anayoyafanya yakiwa hasi analaumiwa yeye.
Urais ni taasisi kweli lakini Rais unatakiwa kuwa na maono yako binafsi mpaka sasa niseme ukweli sijaona falsafa yeyote mpya kutoka kwa Rais wetu zaidi ya kuona mchanganyiko wa utawala wa Kikwete na Magufuli ambao kifalsafa wote walikuwa na utofauti mkubwa.
Sizani Kama ni sahihi kuchukua falsafa za Magufuli na Kikwete kuzichanganya maana falsafa zao zinakinzana pakubwa na haziwezi kukaa katika chungu kimoja.
Unaruhusu Uhuru wa vyombo vya habari na uchaguzi huru uku bado hauna interijensia ya kukamata watekaji na wauaji wa Watanzania wenzetu?
Tanzania tulipofikia tunatakiwa kuwa na Rais ambaye ni game changer ambaye atakuja na falsafa zake zisizofungamana na upande wowote wa Rais asiye madarakani.
Rais ambaye anatengeneza makundi hawezi kufanyakazi na watu wanaomkosoa hatufai.
Rais ambaye bado haonekani kuleta suluhu ya kuwepo kwa katiba na uchaguzi huru na haki.
Nchi Haina future juu ya mambo mengi ya kitaifa Rais Bora ni yule mwenye falsafa inayoeleweka na watu wake.
Hivyo nashauri angepumzika mwakani atakuwa Rais mwenye heshima kubwa Sana kwenye Taifa letu.
Natamani iwe hivyo sanaa kwakweliupande