PreGE2025 Ingependeza Rais Samia apumzike 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Nchi Ina Hali mbaya Sana kiutendaji Kama Kila mtu angekuwa na uwezo wa kuona kinachoendelea ndani Basi watu wangegawana fito ni huzuni Sana
 
Akishanukuliwa na gazeti la Uhuru kwamba Hatogombea
 
Nimesoma paragraph 10 ulizoandika. Kwanza tambua, uongozi wa nchi yetu ni endless process; hawezi ingia Rais mpya akaja na mambo yote mapya. Nchi hii ina dira kutoka kwa waasisi ila kila zama inaboreshwa.

Kwa mfano, mradi wa umeme wa Stiglers George ulianza wayback miaka ya 1970 umekuja kutekelezwa 2016 na kukamilika Awamu ya Sita chini ya mhe. Rais Samia.

Pili, Falsafa ya Mhe. Rais Samia ameshaieleza.

Tatu, Dira ya nchi hii ni Ilani ya Chama Cha Mapinduzi.

Nne, suala la mfumo dume ni primitive nonsense. 🙏🙏🙏
 
Mwakani ana kuja na falsafa yake maana hii imetokea tu emergence, huhusu kuachia ngazi hiyo sahau brother
 
Imeniacha kwenye mataa, codes bado hazijafunguka
Binafsi ningependa mama yetu apumzike 2025,Tunahitaji Rais ambaye ni mzalendo,mwenye uchungu na Taifa hili,mwenye kuweza kulinda rasilimali za Taifa kwa manufaa ya kizazi hiki na kizazi kijacho,Rasilimali za Taifa zinufaishe wananchi kuliko wageni kama ilivyoelezwa katika katiba ya yetu,kwamba Rasilimali za Taifa zitumike kuondoa umaskini katika jamii siyo kupewa wageni kwa maslahi ya viongozi..
 
Tatizo liko hasa kwa wanao msaidia ndiwo wanaahirisha kufkirii kizalendo a.k.a kujizima data, pamoja na jamii ya bira liende yaani kanyaga twende kupokea fikra chanya na hasi bila uwezo wa kuzichakata
 
Nani aje badala yake ??!
Ikumbukwe kwamba Vyama vingine vya Upinzani vitasimamisha wagombea wao wa URAIS pia !😳

Kama unadhani hatoshi si utachagua mwingine ???! 😅

Mama anatosha akichaguliwa itakuwa sawa tu !
Vinginevyo mtuambie huko Chamani mnataka Asimame nani kupeperusha Bendera ya Chama ???!!
 
Ujumbe huu ni muhimu sana,ila tusipokubaliana nao, 2030 tutajuta
 
Wengi watakupinga na kukudhihaki, ila kwa hakika, akilazimisha, ataweza kuwa Rais, lakini ataongoza kwa taabu sana, na yumkini asimalize miaka mitano, akaondoka kwa aibu , wakati alikuwa na nafasi ya kupumzika kwa heshima kubwa.

Machawa wanamdanganya na kumwaminisha kuwa anakubalika kuliko Rais yeyote aliyepita. Ana nafasi ya kuukubali ukweli au kuhadaiwa na machawa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…