shegaboy
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 213
- 34
Kuna dada mmoja alikuwa anapenda sana wanaume siku moja kakutana na jamaa mmoja akasema anataka kumuoa. ila jamaa anajua nyendo zote za yule demu alikuwa anamtega tu. yuledada akakubali wakaenda kupima wakakuta wote wazima yule kaka akaanza kuomba mzigo kwani si tayari wachumba yule dada akampa mzigo. wakiwa katika libeneke yule kaka akasema na kama Mungu angesema anaweka watu alama katika hili tungeona viroja sana. yule dada akauliza unasema? yule kaka akasema kwa tendo hili kama Mungu angekuwa anaweka alama watu uliotembea nao na ungekuwa unageuka geuka sura zao ingetisha sana. yule dada akasusa kutoa mzigo kwa yule kaka pale pale yule kaka akaaza kumhesabia wanaume aliokuwa anatembea nao. Huseni, john mushi, iscka mbelwa, makalius,.......yule dada akavaanguo zake akatoka mbio kwani wote ametembea nao kweli