Ingekuwa wewe ungefanyaje??

Ingekuwa wewe ungefanyaje??

Bavaria

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
53,092
Reaction score
53,568
altAvozg-jj6DadYdXI7iU4SK6y1XPsY3jXskroLdNwwVYt[1].jpg
 
Waiting for the final bite n assess the damage if it is total loss or not...!!!
 
kwa mwanaume ukifungua hii picha kwa mara ya kwanza lazima upate mshituko dusheleleni
 
ningeshuka chini kidogo ili achukue hiyo ndude ili arizike halafu mie huyooo taratiiibu najipangusapangusa vijidamu..back home
 
ningeshuka chini kidogo ili achukue hiyo ndude ili arizike halafu mie huyooo taratiiibu najipangusapangusa vijidamu..back home

Hawezi kushiba kidushe chako. Atataka kila kitu
 
Hii ni ya mwaka ya kuvunja mbavu maana hata mi sitakwenda tena bichi kama mambo yenyewe ni haya maana huyo papa akidokoa tu basi hapo tena huwa hakuna cha dume la mbegu hapo tena itakubedi uwe kama Gaey tena au itakuwa kazi ya kusukuma ukuta tu ndo hayo maisha
 
Learning how to swim in 2 minutes. Aisee itabidi nijaribu kumtoboa macho tu...ikishindikana nikubali kuwa wakti umefika...ni muda wa kurudisha namba. Hii haina tofauti sana na kuchinjiwa baharini
 
Mi ningekimbia papo hapo na ningemuacha anacheka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom