Ingekuwa ni katika nchi za wenzetu, hata "mkulu" angechunguzwa

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,013
144,371
Kwa mtitiririko huu wa matukio na tuhuma mbalimbali dhidi ya bwana Bashite na jinsi boss wa Bashite anavyoyachukulia(msimamo wake) ingekuwa ni katika nchi za wenzetu hata mkulu angehojiwa ni kwanini anaonekana kuzipuuza tuhuma hizi badala ya kuchukua hatua kama ambavyo wengi wamekuwa wakimtaka au wakimtarajia.

Nihitinishe kwa kusema:

Kama fulani ndio kamponza fulani,basi nae karma haitamuacha.
 
Kwa mtitiririko huu wa matukio na tuhuma mbalimbali dhidi ya bwana Bashite na jinsi boss wa Bashite anavyoyachukulia(msimamo wake) ingekuwa ni katika nchi za wenzetu hata mkulu angehojiwa ni kwanini anaonekana kuzipuuza tuhuma hizi badala ya kuchukua hatua kama ambavyo wengi wamekuwa wakimtaka au wakimtarajia.

Ni kweli Mkuu ila kwa Katiba yetu hii ya hapa Tanzania ama hakika tunasubiri sana labda mpaka Kristo atakapokuja kutukomboa.
 
Kwa mtitiririko huu wa matukio na tuhuma mbalimbali dhidi ya bwana Bashite na jinsi boss wa Bashite anavyoyachukulia(msimamo wake) ingekuwa ni katika nchi za wenzetu hata mkulu angehojiwa ni kwanini anaonekana kuzipuuza tuhuma hizi badala ya kuchukua hatua kama ambavyo wengi wamekuwa wakimtaka au wakimtarajia.
Nenda kaishi kwenye nchi za wenzenu kisha mchumguze, au mwambie kimambi amchunguze maana yuko nchi ya wenzetu.
 
US, France Viongozi Kwasasa Wanachunguzwa
Ila Hapa Aliyejipigia Kura Mwenyewe Na Kupata Urais Anatuona Wananchi Bure Kabisa Yaani Anatukebehi Hadharani
 
Hakuna kitu kama hicho. Hatuwez kupoteza Muda kwenye udaku. Mimi ni rais ninayejiamini.. Nataka tanzania IWE taifa la mfano Africa. Story za makonda malizaneni huko huko mlipo zianzisha kwenye media na mitandao
 
Hivi bunge linaanza ln
Naisubiri sn hii platform ya wawakirishi wa wananchi.
Natabiri wapinzani watafukuzwa napema sn bumgeni kwa amri ya sizonje na makamu wake BASHITE
 
Kwa mtitiririko huu wa matukio na tuhuma mbalimbali dhidi ya bwana Bashite na jinsi boss wa Bashite anavyoyachukulia(msimamo wake) ingekuwa ni katika nchi za wenzetu hata mkulu angehojiwa ni kwanini anaonekana kuzipuuza tuhuma hizi badala ya kuchukua hatua kama ambavyo wengi wamekuwa wakimtaka au wakimtarajia.

Nihitinishe kwa kusema:

Kama fulani ndio kamponza fulani,basi nae karma haitamuacha.
Korea kusini hata Brazil marais wamesimamishwa kazi kwa mambo ya ajabu ajabu hata kuke Africa kusini Rais akizingua huitwa bungeni kujieleza
 
Tupo njiani kuelekea huko. Magufuli amatuangusha sana watanzania, Kumbe ilikuwa Pumzi ya COCA BASHITE TU.
 
Back
Top Bottom