Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sorry kama na mm nimekukwaza ..............sio kusudio langu kukukwaza ok..............niliapload nikaona imekaa tu fresh ila ilipokua kutokea huku ka maneno ya kichina loh! hata mm nilishangaa na kuishia kucheka tu ................samahani kwa mara ya pili tenaAminata, halikuwa kusudio langu kukufanya uje juu,, pia nilitumia upeo wangu kukueleza kuwa nisingefanya ulichokifanya, bali ningejitahidi ili kuwapunguzia usumbufu wasomaji, kwamba umerekebisha ni jambo zuri, samahani kama maneno yangu yamekukwaza mama.. Mapendo
sorry kama na mm nimekukwaza ..............sio kusudio langu kukukwaza ok..............niliapload nikaona imekaa tu fresh ila ilipokua kutokea huku ka maneno ya kichina loh! hata mm nilishangaa na kuishia kucheka tu ................samahani kwa mara ya pili tena
1.unaingia kwako room kutoka kazini au masomoni nje ya nchi wakuta hali ka hii room kwako
2. wamkuta mkeo juu ya kifua cha mtu au mumeo juu ya kifua cha mtu
3. ikiwa ww ndio huyo mke ungejiteteaje?
4.ikiwa ww ndio huyo mgoni hapo na mke wa mtu ungefanyaje?
Kushney, no maelezo.
je kama mgoni ni baunsa c utavunjwa ww sasa hapo ahhaaaaaaaaaaaaaaaaKwa kusema cha ukweli kile ambacho ningefanya, ningekuja kuhadithiwa na mwendesha mashitaka, inspekta wa polisi, nikiwa nimesimama ndani ya kizimba. Otherwise ningekuja hadisiwa na God huko kuzimu...
.. nisingeanzisha hii thread, ili kuepusha usumbufu.
je kama bado unampenda huyo mtuhumiwa wako .............hata hutaki kumuuliza sababu ya yy kufanya ivo wajameniUkiona bado watu wanaendela kutoa lawama badala ya kuchangia thread ujue maji yamezidi unga.....hawana vifua hao........mimi napita kabatini namalizia nguo nilizobakiza na dox zangua muhimu nabeba huyoooo nasepa
je kama mgoni ni baunsa c utavunjwa ww sasa hapo ahhaaaaaaaaaaaaaaaa
je kama bado unampenda huyo mtuhumiwa wako .............hata hutaki kumuuliza sababu ya yy kufanya ivo wajameni
Kupenda huko utumwa........kifupi mtu akikusaliti ni kwamba either humtoshelezi au hatosheki,either kimwili,kihisia au hata kimahitaji
hujakwazika ..kwa nini hujakwazika ?Usijali, binafsi sijakwazika hata kidogo..
Aminaa hujambo? ujue kuwa mwenzako silali huku kwa sababu yakothanx mnoooooooooooo
nani kakufundisha?
hujakwazika ..kwa nini hujakwazika ?
Aminaa hujambo? ujue kuwa mwenzako silali huku kwa sababu yako