MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Ni mawazo tu ambayo nime fikiria. Vitu ambavyo vinge tokea Tanzania inge kuwa nchi tofauti na ilivyo sasa (iwe kwa uzuri au ubaya).
Inge kuwa vipi.....
1.Kama Nyerere ange baki kuwa raisi wa maisha?
2.Kama Nyerere ange jiuzulu mapema zaidi?
3.Kama Edward Sokoine ange kuja kuwa raisi?
4.Kama Mrema ange shinda 1995?
5.Kama Ben Mkapa asinge kuwa raisi?
6.Kama JK ange shinda 1995?
7.Kama leo hii Lowassa ndiyo ange kuwa waziri?
8.Kama vigogo wazito wa CCM wange jitoa na kuanzidha chama kingine?
9.Kama mafisadi wange shughulikiwa?
10.Kama Omar Ali Juma ange kuwepo hai na kumchallenge Kikwete 2005?
Ni mawazo tu....
Inge kuwa vipi.....
1.Kama Nyerere ange baki kuwa raisi wa maisha?
2.Kama Nyerere ange jiuzulu mapema zaidi?
3.Kama Edward Sokoine ange kuja kuwa raisi?
4.Kama Mrema ange shinda 1995?
5.Kama Ben Mkapa asinge kuwa raisi?
6.Kama JK ange shinda 1995?
7.Kama leo hii Lowassa ndiyo ange kuwa waziri?
8.Kama vigogo wazito wa CCM wange jitoa na kuanzidha chama kingine?
9.Kama mafisadi wange shughulikiwa?
10.Kama Omar Ali Juma ange kuwepo hai na kumchallenge Kikwete 2005?
Ni mawazo tu....