kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,460
- 4,166
Nimepitia uzi wa the so called mwanaharakati uchwara Mange kimambi,nimeona amepotosha umma dhidi ya serikali yetu tukufu.
Huyu mwana mama amedanganya umma kuwa wanajeshi wamemtumia screenshots za kutumiwa pesa eti za shukrani kwa kazi nzuri ya kuua watu waliyoifanya, nimeangalia tarehe ya hiyo miamala na amount iliyotumwa nikajiridhisha kuwa Madai yake ni ya uongo.
Kila tarehe 15 ya mwezi wanajeshi wote huwa wanapokea 310k kama ration allowance,na ndio kilichofanywa na serikali hiyo tarehe Mange anayoisema.
Naomba umma wa watanzania kumpuuza huyu mwana mama.
Huyu mwana mama amedanganya umma kuwa wanajeshi wamemtumia screenshots za kutumiwa pesa eti za shukrani kwa kazi nzuri ya kuua watu waliyoifanya, nimeangalia tarehe ya hiyo miamala na amount iliyotumwa nikajiridhisha kuwa Madai yake ni ya uongo.
Kila tarehe 15 ya mwezi wanajeshi wote huwa wanapokea 310k kama ration allowance,na ndio kilichofanywa na serikali hiyo tarehe Mange anayoisema.
Naomba umma wa watanzania kumpuuza huyu mwana mama.