Influence ya Wachagga Vs Wakinga in Dar Es Salaam

Status
Not open for further replies.
unaongelea ushabiki...utafute umoja wa wachagga kariakoo utajua kuwa wakinanani wana nguvu ya kiuchumi

acha kuwa na mawazo ya kitoto kwako wew biashara ni kuwa na duka kariakoo biashara zipo za aina nyingi wachagaa mkishafungua kiosk mnaona mnafanya biashara.
zipo biashara babu zipo biashara za hisa online businesses mabusi viwanda mazao zipo tenda broo kote hko mchaga hawezi kugusa acha sifa za kijinga pngne hujawai kuuza hata pipi
 

Mkuu wangu nakubaliana nawe ingawa ktk haya mambo ya elimu unajua aliye kwisha kutangulia na kuchungulia fursa anazidi kusonga mbele. Wachagga na Wahaya sasa wamesambaa duniani na kote huko wanatafuta fursa ktk elimu,biashara na kazi nzuri. Mkinga akivuka kikwazo hiki basi kutokana na nidhamu yake ktk biashara na uchapakazi atakua amepanda juu sana. Bila shaka itabidi aachane na haya mambo ya kishirikina!
 
kina kimei wanawapeleka puta sio?
 
haha ushabiki wako ni wa kijinga mkinga gani anafanya biashara online wakati asilimia 98 ya wakinga hawajasoma!!!...usiulize kuhusu usomi wa wachagga
 
ndg zangu wa kanda ya zima kusema kweli mbadilike maana mnatutia aibu kimataifa mauaji vikongwe na albino
 
Bahati nzuri nimeishi Makete.Wakinga wanaamini sana ushirikina.lakini ukifuatilia kwa kina utagundua kuwa masharti wanayopewa na waganga ni yale yanayofafanana na kanuni za kawaida za kuimarisha biashara kama vile kutumia kidogo kuliko unachozalisha na kuweka akiba kwa ajili ya kupanua biashara.
Suala la ajabu ni kwamba wachaga na wahindi hawapo Makambako ambapo kuna biashara sana.Pia Njombe na Mbeya ni wachache sana.Wakinga wametawala huko.
 
Hayo makabila yoote uliyotaja % 100 Wachaga pia Wakinga wanapesa za Kichawi, maarufu kama pesa za Babu....chunguza kwa Makini utasadiki hilo.....wanapesa nyingi sana ila hawana Amani na Familia zao. .....wanauwa Wazazi, Watoto, Waume, Wake zao ili tu wapate pesa...Mleta mada hii jipange kuchunguza kwa Makini kisha lete uzi huu tena uone watu wanavyofahamu makabila haya
 
waha nao wachawi ndugu na wakinga ,wasukuma wao maalbino
 

Inawezekanaje? Kwanza mada ipo kama hoja tu
 
Imekufika kwenye koo! Bro tuliza Mori!
 
huwezi linganisha utajiri wa kutafuta tangia ukiwa mdogo na kwa kutumia akili na utajiri wa mandondocha na kutoa makafara ya kuua ndugu
 
Fanyeni kazi ndugu, hakuna uchawi utakupa pesa, Uganga kwa Mkinga ni Insuarance ya kujiamini tu,na wala haimpi pesa. Nafanya kazi katika kampuni ya Mkinga, najua hayo, Ukimwi umewamaliza sana Wakinga, Makete hakuna Watu/Wakinga. Wakinga hawakupendi Makete, wametawanyika katika miji ya jamii nyingine, wanafanya kazi sana,hawana Jumapili wala weekend, Mungu amewajaria kwenye biashara wanafanya vizuri. Hata wachaga wapo vizuri,lakini tukumbuke nyakati zinabadilika, leo jamii hii kesho jamii ile.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…