yusufu mtegwa
Member
- Oct 27, 2019
- 6
- 2
"Mnaionaje ile simu ya "INFINIX HOT 10 PLAY" yenye RAM 4,na GB 64, na 6000mah.kwa aliewahi au anaeitumia vipi ni simu nzuriii wadau???,nielekezeni mwanzenu.
Kwa bei zinatofautiana inategemea umenunua wapi,bei ya mlimani city haifanani na China plaza wala haifanani na kariakoo ndani ndaniYaani tumetoka kuinunua leo kwa 350,000/=
Kusema kweli ni nzuri kwa matumizi ya kawaida. Battery lake 6000mAh nadhani ukichaji hadi kesho inafika ata kwa OST ya 12-16 hours.
Umeona maelezo ya bei tu.Kwa bei zinatofautiana inategemea umenunua wapi,bei ya mlimani city haifanani na China plaza wala haifanani na kariakoo ndani ndani
Ona huyu! Kwani kaulizia tecno ngapi?hakuna tecno nzuri mkuu
tecno na Infinix, baba mmoja mama mmojaOna huyu! Kwani kaulizia tecno ngapi?
Acha ushamba! tenco ni kampuni tofauti kabisa na infinixtecno na Infinix, baba mmoja mama mmoja
Kampuni moja man. Tecno, Infinix na Itel.Acha ushamba! tenco ni kampuni tofauti kabisa na infinix
mbona umepanik aiseeAcha ushamba! tenco ni kampuni tofauti kabisa na infinix
Dah si ndio hapo wanaacha kunishauri wanalumbana tu.Naona watu wa Samsung, Apple na Xiaomi wamekuja kufanya fujo kwenye uzi wa jamaa.
Kauli mbiu yao humu, Tecno, Infinix na Itel sio simu bali ni vifaa vya mawasiliano.Dah si ndio hapo wanaacha kunishauri wanalumbana tu.
Duh! Makubwa hayaInfinix simu ina matangazo mengi hadi kwenye Menu, contacts na msg.
hata ukiangalia salio matangazo yanajileta
mali ya kampuni moja inaitwa Transsion HoldingsAcha ushamba! tenco ni kampuni tofauti kabisa na infinix