jay-millions
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 4,482
- 11,500
Moja ya matoleo bora ya infinix, hutajutia hela yako
Hivi shida ni nn kwenye infinix. Kuna jamaa yangu anamiliki hot 10 play inamletea matangazo.Infinix simu ina matangazo mengi hadi kwenye Menu, contacts na msg.
hata ukiangalia salio matangazo yanajileta
Nimeitumia Iko Bomba sana, ukihitaj 0653499987"Mnaionaje ile simu ya "INFINIX HOT 10 PLAY" yenye RAM 4,na GB 64, na 6000mah.kwa aliewahi au anaeitumia vipi ni simu nzuriii wadau???,nielekezeni mwanzenu.
Kauli mbiu yao humu, Tecno, Infinix na Itel sio simu bali ni vifaa vya mawasiliano.















Wengine chaji sio kipaumbele ktk simuMimi binafsi natumia Infinix hot ten na ipo vizur tu maana kam nikii chaji ikajaa nakaa nayo siku tatu Hadi mbili. Na wala sijutii kuimiliki.
Hivyo naamini hata hiyo uliyoisema itakuwa ipo vizuri tu.