Infidelity Investigation



The good thing we are Professionals and not Waswahili. So, no noises. Ni kazi tu na evidences as per ToR.
 
He he he, ndio maana wanasema kutoa talaka kipaji

Unakuta mwanamme anampa talaka mkewe afu baada ya wiki unawakuta gizani wanatongozana upya

 
Ya nini kumwaga mchele hadharani. Umeshaambiwa PM for further details. Umeshaambiwa utapewa taarifa vielelezo vyote vilivyopatikana. Sasa shida ni evidence au siri za kazi?

Haya Bosi,nimekusoma.
 
Mwanamke ni zaidi ya kick!!! wanawake wengi vitu vidogo vidogo sana ambavyo wanaume wengi wanavidharau huwa vinawatuliza kabisa!!! Tatizo ni kwa wafungua flaisi tu!! Wengine hata mke ajitahidi vipi lakini nje lazima!! Laana hii!!
 
Mwanamke ni zaidi ya kick!!! wanawake wengi vitu vidogo vidogo sana ambavyo wanaume wengi wanavidharau huwa vinawatuliza kabisa!!! Tatizo ni kwa wafungua flaisi tu!! Wengine hata mke ajitahidi vipi lakini nje lazima!! Laana hii!!

Well written. Kunguru hafugiki.
 
Jamani hakuna siri duniani,,Kama una mume ama mchumba ambaye ni mtarajiwa we omba tu Mungu akuonyeshe kama kweli huyo mtu ni mkweli kwako,,,hata iweje kama mtu wako anakucheat utakuja kujua tu kwa njia yoyote ile..
Hakunaga siri
 

Cjui Ku pm na huduma naitaka nifanyaje?
 

Mtafungwa nyie
 

ninachojua ni kuwa unachochunguza kwa mtu kipo na kama halipo bas chaja. so ya nn kukishuhudia? strees za nn? dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…