Nani kakwambia kuwa kumegwa ni dhambi Maty?Anyway, kama ni mwaka sasa bado kumegwa basi nadhani itakuwa taarifa muhimu sana akiipata mpwa Finest!
Hebu nipe ufafanuzi hapo kwenye bold mana me nahic kumegana kabla ya ndoa ni sambi kubwa
Maty itabidi twende tupime kwanza kama oil imo kabla ya kushusha engine pia itabidi niangalie na gear box yako kama itafanya kazi vizuri
Hebu nipe ufafanuzi hapo kwenye bold mana me nahic kumegana kabla ya ndoa ni sambi kubwa
hebu nipe ufafanuzi hapo kwenye bold kwani kwa sasa mie ninachojua kumegana ni sambi kubwa tu
Ukijaribu tu umikwisha kwani hutorudi kwako siku hiyo na ndio utakuwa umevunja moja ya sheria za infidelity kwani hii engine.............. he nilitaka kumaliza kumbe kuna watoto hapa
Ukijaribu tu umikwisha kwani hutorudi kwako siku hiyo na ndio utakuwa umevunja moja ya sheria za infidelity kwani hii engine.............. he nilitaka kumaliza kumbe kuna watoto hapa
Hivi maty ni nani wajameni hebu nipeni miwani yangu hapo........:couch2:
Nini turbo? We acha tu yaani hawa watoto wanaochungulia humu wanasababisha tushindwe ku..................... bac bwana
Mwanafunzi mpya wa ISC
siku hizi hakuna niangusage cna uhakika kama bado wapo
Infi (hasa jinsia me) muwashukuru sana watengenezaji wa ze valuu na ze konyegi maana zinawasaidia sana kwenye ku du ze nidi fulu mana bila hizo wengi wangekuwa wanaadhirika uongo?
hhahaha kiongozi huyu atakuwa pre standard one nini...sijakagua wanafunzi siku nyingi....:d